othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Sio Gambo. Yule DC aliyepewa cheo kutokea kule UVCCM Iringa ni hatari zaidi kwa mikakati ya uuaji.Mrisho Gambo ashaanza vurugu zake
Mnapingana ndoto zenu wenyewe kwa wenyeweSio Gambo. Yule DC aliyepewa cheo kutokea kule UVCCM Iringa ni hatari zaidi kwa mikakati ya uuaji.
Bila kumzimisha huyo ( kiakili au hata kimwili) atawaletea siasa za maafa Arusha.
Hilo tukio Ni la kutafuta kick tu ya media namkumbuka 2015 pia lilirushwa bomu mkutano wa Chadema Huko Huko Arusha lengo kutafuta kick na attention kwenye media
Ni Chadema tu wanatafuta kick za media attention tu
Akiwa kichaa inakusaidia nini?Umemsahau yule aliyejitangaza mwenyewe kwamba ni kichaa na anateua vichaa wenzake@[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kitu na mimi nimeiona itatokea.Kuna mgombea atakufa kabla ya uchaguzi sababu asiyempenda kaja
Sio kwamba hawapendi siasa za ushindani, ila hawaziwezi.Ni kwa sababu hawapendi siasa za ushindani
AiseeHilo tukio Ni la kutafuta kick tu ya media namkumbuka 2015 pia lilirushwa bomu mkutano wa Chadema Huko Huko Arusha lengo kutafuta kick na attention kwenye media
Ni Chadema tu wanatafuta kick za media attention tu
Yes hawawezi choma zote ila pia hujui watachoma zipi, at least head offices zitakuwa more targeted. Sasa concern yangu kubwa ni kuwa kwa nini uweke kipaumbele kwenye majengo ya ofisi ikiwa unajua huyawezi kusave full purpose ya office?Mkuu nakumbuka vyema angalizo lako na hatari zote zinazoweza kutokea, lakini hawawezi kuchoma zote, japo uwezo wa kuchoma kadhaa upo.
Calm down ndugu, don't panic. God is the greatest of all,don't you trust in him?nyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
Wapiga kura ndio waamuzi, kichaa huwa apigwi risasi wala atungiwi Sheria Kandamizi kuelekea uchaguzinyie ndiyo pimbi kabisa mnaofikiria na kuamini kuwa lissu anaweza kupewa nchi kweli tumpe nchi kichaa? nani anataka shida? hatuwezi kukubali kaeni na ujinga wenu mshabikie kitu ambacho hakiwezekani
32+ ni zote zilizoelekezwa kwake, 16 kati ya hizo ndiyo zilizoingia ktk mwili wa kiumbe Hutu wa Mungu.Hivi ni 32 ama ni 16