Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna aliyewahi kutamka hivyo? Mbona wasomi siwaoni huko?Na bado mtasema Jeshi la Polisi lina wasomi??
Naona upo kazin mzee???[emoji35] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na bado mtanyoooka tuu hu mwaka...tunaye rais mmoja tuu hii nchi
Unasema tu wewe, mtakunjwa vizuri sana.Polisi nao wahakikishe wanaondoka na familia zao kwenda huko wanakolinda kwa maana wazee wa ukuta wanafahamu nyumba wanazoishi. Kwa hakika watajuta kwanini walichagua kazi hiyo ambayo hufanywa na watu ambao ni less intelligents.
Vinyongo vya nini! Mko bize kutetea mafisadi, unadhani hatujui wanaowatuma!Watu wakipata vinyongo taratibu.....yataanza matukio ya ajabu ajabu
Kazi ya Polisi ni kulinda raia na mali zao. Safi sana.Ndiyo kazi yao kulinda raia na mali zao.
Wajengewe na ofisi zao nje ya hizo ofisi za CHADEMA.
Waache wajidanganye.Vinyongo vya nini! Mko bize kutetea mafisadi, unadhani hatujui wanaowatuma!
Ikibidi ni safi ssna, wanatucheleweshea maendeleo.Kuna mtu nilimuambia kuhusu hili...
Kwa hali hii sitoshangaa kuona hilo.
Hahaaa, akili ni kuwadhibiti kwanza hawa vibara wa wazungu, akina nyie ni rahisi kuwachapaPolisi watumie akili kama ni kuandamana watu watakuwa barabarani siyo maofisini.
Nawapenda sana hawa jamaa. Cjui kuna utaratibu gani unafuatwa ukitaka wakulinde nyumbani kwako au ukiwa unasafiri na kamzigo ka misimbazi.Kazi ya Polisi ni kulinda raia na mali zao. Safi sana.
Elimu elimu elimu,,,,,, bibi yako anavyo visibitisho vyaufisadi uo...... Magufuli kwann asiwafunge yani ww unavithibitisho kuwazidi wao,,, AMKA MTANZANIA NGOJA YAKUKUTE,,,, INSHAHLLAHVinyongo vya nini! Mko bize kutetea mafisadi, unadhani hatujui wanaowatuma!