Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM bhana, yaani full vituko, wakalinde vituo vyao huko sio maandamano ambayo hayana athari kwao maana waandamanaji hawana silaha yoyote!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ikiendelea hivi hiyo sept 1 utawakuta Polisi na makopo ya Rangi ya kijani mikononi...Kuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.