Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muhimu sana, maana hawa jamaa wanatumika na wazunguKuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Fear of the invisibleKuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
asante mamdogo kwa kutujuza sie tulidhani ni JAKAYA MRISHO KIKWETERaisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni DR.JOHN POMBE MAGUFULI hakuna mwingine
Aiseeee!!!
Mnatufanya tujaribu njia nyinginee ambazo ni hatari zaidi
Kwanini usianze wewe kuweka jina lako halisi?Cha kwanza ungeweka wazi jina lako halisi. Kisha uje na mikwara yako. Vinginevyo mnanogesha tu jukwaa ili muda usonge.
wacha wafanye wanavyotaka maana tuliwapa miaka mitano na wanaojitoa fahamu kusifia kila jambo daah mwisho wa siku tunaelekea sijui wapi labda ndo viwanda hivi au laptop kwa kila mwalimu
Wee demokrasia unaijuaaa au unapigiwa ngoma unaruka tu kama kasukusawa na demokrasia ni ya namna moja tu- hoja na majadiliano sio risasi na mabomu
Wee fyatuka tu kama mlango wa gest,tukikubananisha uonyeshe waasi wenzio ndoo utaongea kikwenu sijui kikuryaHii itasababisha watu kuwa waasi ktk taifa lao
Wewe ndo unayefyatuka ksms mlivyoambiwa fyatuenWee fyatuka tu kama mlango wa gest,tukikubananisha uonyeshe waasi wenzio ndoo utaongea kikwenu sijui kikurya