baharia Ar
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 837
- 316
police niwanaccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dictatorship rule at work!!Kuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
huna point ww kaa kimyaNa bado mtanyoooka tuu hu mwaka...tunaye rais mmoja tuu hii nchi
Uandishi wako umedhihirisha unachowazaWako sasa kabisa maana ukiwa unamkumbiZa sungura na akaingia kwenye kichuguu utabaki nje ukilinda ili akitoka tu upige kichwa.
CCM Haikuwahi kuwa chama cha siasaTaifa la hovyo polis na serekali vimegeuka chama cha siasa
Baba ako anakaziGASHO mwingine huyuapa
Natafuta VISA ya burundi... angalao hukoShosti utabiri umeanza lini? Ha ha haaaaa ila hii hali inasikitisha sana
BABA YANGU AMESTAAFU siku nyingi tuBaba ako anakazi
na wewe unatumika lumumba.. ngoma dorooNi muhimu sana, maana hawa jamaa wanatumika na wazungu
Yeah ni vizuri kaendelea kutulinda..Kuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Na kwenye siku ya ukuta watulinde ..siyo kupiga mabomuKuna Taarifa inasema ofisi ya Chadema Makao Makuu Ufipa na kwenye kanda 8 zipo chini ya Uangalizi mkali wa polisi.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Hii itasababisha watu kuwa waasi ktk taifa lao
Hii itasababisha watu kuwa waasi ktk taifa lao