Ofisi za Maprofesa na Madaktari wa UDSM zinathibitisha namna Taifa lilivyofeli. Je, hata majumbani kwao wanaishi kwa dhiki hivi?

Ofisi za Maprofesa na Madaktari wa UDSM zinathibitisha namna Taifa lilivyofeli. Je, hata majumbani kwao wanaishi kwa dhiki hivi?

Uprofesa siku hizi hauna maana yoyote. Maprofesa wengi ni wajinga na wapumbavu. Pia walishasema hapo ni jalalani so ni haki yake kuwa na ofisi ambazo ziko hivyo
 
Tume iundwe ya kuchunguza ubovu wa vyoo ikiongozwa na Profesa mwenzao Taletale na Dr Mwaka?
 
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.

Acha kutusi nyumbani kwenu, huko ni kutojua mambo mengi kwanini hali iko hivyo, ww kwenu au ulikozaliwa kijijini au sehemu yoyote ya Tz kukoje? Huruma na busara za kuona hali mbaya mahali badala ya kuumia moyo au kusikitika kimya kimya, ww unawasimanga au kuwang'ong'a hivi, I hate to say this, you are such a freaking shithole.
 
Bado kama taifa hatujawa tayari kuliangalia kwa umakini unaohitajika suala la elimu, tunadonoa donoa tu. Huyu anaongelea ofisi za maprofesa, huyu anaongelea madawati, huyu anaongelea vishikwambi kwa walimu, huyu anaongelea ranking za shule. Tunarukaruka tu kama tumerukwa akili.
 
Inasikitisha sana nchi hii,
Nimekuwa nikipita kwenye geti kuu la kuingilia Mbuga ya Wanyama Nyerere upande wa Mloka, kusema kweli ni aibu,

Sielewi hata hao watalii huwa wanatufikilia nini sisi Watanzania, Reception ni hovyo, hakuna hata computer, wafanyakazi wana lugha mbaya na za kukera, hujafanya kiss lolote wenyewe ni kufoka foka tu, eneo ni chafu hakuna mvuto wowote,

Mpaka unajiuliza hawa watu hawajawahi hata kwenda mbuga za wenzetu kujifunza kitu.

Ni aibu
 
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
Pia tembelea parking ya Utawala uone V8 za maboss wao zilivyopark pale zinapumua utadhani ni mawakala wa TOYOTA.
 
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
Ni issue ya mentality wala siyo pesa.
 
Inasikitisha sana nchi hii,
Nimekuwa nikipita kwenye geti kuu la kuingilia Mbuga ya Wanyama Nyerere upande wa Mloka, kusema kweli ni aibu,

Sielewi hata hao watalii huwa wanatufikilia nini sisi Watanzania, Reception ni hovyo, hakuna hata computer, wafanyakazi wana lugha mbaya na za kukera, hujafanya kiss lolote wenyewe ni kufoka foka tu, eneo ni chafu hakuna mvuto wowote,

Mpaka unajiuliza hawa watu hawajawahi hata kwenda mbuga za wenzetu kujifunza kitu.

Ni aibu
Hawapelekwi kujifunza Kwa Wenzetu.
Zikitokea Safari wanakwenda Wapumbavu Kupiga picha na kutafuta like kwenye FB.
Hiyo Ipo kila Idara.
Wahifadhi wote wanepita JKT mafunzo ya Kijeshi . Na Je mafunzo ya Kijeshi kule JKT na kwingineko yanaendana na mahitaji za jamii na kimataifa ?

CCM imefikia mwisho Kwa uwezo wa Mungu pekee mana imeliharibu Taifa hili lililokuwa limeasisiwa na mwalimu Nyerere Kwa uzalendo mkubwa.

Enzi za mwalimu haiwezi kupata kazi kwenye hifadhi za wanyama kama hujasoma Chuo Cha Mweka International Wildlife College.
Chuo kilikua kinatoa wasomi wa kiwango Cha kimataifa.
Leo sijui JKT , sijui SUA , sijui wapi wanafundishwa kikatilikatili na mazingira ya kukwamishana TU Hali inayowafanya kuwa na roho mbaya na kuwaza pesa TU. Ndio maana siku hizi hata wakimwona kuku wa kienyeji kwenye hifadhi wanaweza wakampiga risasi na kumkamata mmiliki .
 
Maprof wamekaa kugombeza wanafunzi tu utadhani siyo wasomi. Mpaka unawaonea huruma hao wanafunzi.

Kwa masaa sita niliyokaa pale nilibaini hata kazi za utafiti pale chuoni hazifanyiwi maboresho sahihi.Unasomaje andiko ya masters kwenye Ofisi zile? Yale mazingira ni Duni Sana.

Na hii Inapoelekea Maprofesa kujisifu Kwa kukaa na KAZI za wanafunzi miezi minne. Huyu ndugu yangu anaongea kabisa HAPA KWETU MWANAFUNZA ATOBOI KIRAHISI, WAKIJA KWA LENGO LA KUMALIZA CHUO WANAKOMA WENYEWE. WAKITAKA KUMALIZA CHUO WAENDE HUKO KWINGINE SIYO HAPA.

Huyu ni msomi mwenzetu anawaza wanafunzi wafeli na anaona kabisa yupo sahihi. Wakati huo yeye amesoma masters nakumaliza Bila kuzidisha siku katika vyuo ambavyo wenzetu wamewekeza na kujua umuhimu wa muda. Mwalimu anadai wao UDSM utafiti "partial fulfillment" unakaa examination miezi mitatu..80 pages unasahisha above 90 days?

Nimejifunza mengi Sana UDSm lakini fikra za wenye chuo zimechangia kudumaza wasomi wao na kuwafanya wawe Mungu MTU.

Just from discussion, they way wanafunzi wanavyokuwa kutreated, Madaktari wanavyojisikia na namna wanavyoishi hakuna ubora wa elimu. Panatakiwa reform , time management na environment ya utoaji elimu mpo nje kabisa ya Dunia.

Siku nyingine nawaambia nilichoona college ya engenering ; najua mwajua Ila tuwakimbushe may be watabadilika
Kila mwaka bajeti za ukarabati wa majengo na ofisi .
Pesa zinatengwa.
Wapumbavu na wahuni wanagawana pale pale Chuoni ,jioni wanakaa kwenye baa na kulewa pombe na kama Kuna mwanafunzi wa Ke mwenze makalio makubwa lakini akili ndogo basi pesa inazobaki itatumika kulipia gest . Ukarabati utafanyika mwakani kwani fungu kimekwisha .

CAG akifika anawaonea aibu maprofesa na hata wakibainika kuwa wamechezea pesa za umma hatua haichukuliwi mana wasomi ni miungu watu waliwafundisha wezi wa Mali za umma ambao ni miungu kamili.

Kila sekta na Idara imejaa majizi yanayolindwa na waliopaswa kuwafukuza na kuajiri watanzania wenye wito halisi wa kuwatumikia na kuwapa Elimu Bora watanzania.

Ukitaka ujue Nini wasomi wanawaza basi fualitia mazungumzo yao wakikutana na kampani zao za starehe.
Mwafrika katika nchi zetu hizi Akishapata PhD na basi hashughulishi Tena Kichwa chake zaidi ya kutafuta madili yenye pesa za kula Bata.Angakau wale wa za amani kama akina Shivji na wengine wenye above 65 years.

Dubai imeendelea Kwa sababu ya kupata Kiongozi sahihi wa kusimamia mwelekeo wa nchi.
Serikali ya wahuni haiwezi kudhibiti uhuni na wahuni .
Sio kweli kuwa Chuo kikuu kinashindwa kukarabati ofisi za malecturer . Kuna shule za secondary private zenye maofisi mazuri kama ofisi ya meneja wa Benki.
Watumishi wengi hawajali kulinda hata fungu la usafi wa mazingira. Hawawezi vibarua wa usafi matokeo yake ni mazingira mabovu.
 
Hawapelekwi kujifunza Kwa Wenzetu.
Zikitokea Safari wanakwenda Wapumbavu Kupiga picha na kutafuta like kwenye FB.
Hiyo Ipo kila Idara.
Wahifadhi wote wanepita JKT mafunzo ya Kijeshi . Na Je mafunzo ya Kijeshi kule JKT na kwingineko yanaendana na mahitaji za jamii na kimataifa ?

CCM imefikia mwisho Kwa uwezo wa Mungu pekee mana imeliharibu Taifa hili lililokuwa limeasisiwa na mwalimu Nyerere Kwa uzalendo mkubwa.

Enzi za mwalimu haiwezi kupata kazi kwenye hifadhi za wanyama kama hujasoma Chuo Cha Mweka International Wildlife College.
Chuo kilikua kinatoa wasomi wa kiwango Cha kimataifa.
Leo sijui JKT , sijui SUA , sijui wapi wanafundishwa kikatilikatili na mazingira ya kukwamishana TU Hali inayowafanya kuwa na roho mbaya na kuwaza pesa TU. Ndio maana siku hizi hata wakimwona kuku wa kienyeji kwenye hifadhi wanaweza wakampiga risasi na kumkamata mmiliki .

Mkuu umeandika kwa uchungu sana
 
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
Umeandika vizuri. Ni shida kuona mtu anashindwa kuyaweka mazingira yake ya kazi yawe mazuri. Wasomi wameshindwa katika hilo hapa nchini.
 
Hivi wewe umewahi kuingia ofisi za wakusanya ushuru huku wilayani, utadhani wao sio wakusanya ushuru hata pazia hawana.
Aisee nenda kwenye ofisi za watendaji wa vijiji ambao ndio wadau wakubwa wa kukusanya Kodi, achana na ofisi nenda vyooni wallah hata kichaa hawezi kujisaidia huko
 
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote.

For the first time nimefika university of Dar es salaam kumwona rafiki yangu ambaye nilisoma naye Ila Kwa sasa ni mwajiriwa wa Chuo kikuu cha DSM. Niseme ukweli hata yeye nafsi ilimsuta kunikaribisha ofisini kwake lakini hakuwa na jinsi ikabidi anialike.

Mazingira niliyoyakuta pale yanatia huruma. Hata kama ndo mnasubiri serikali iwajengee Ofisi hapana Madaktari na Maprofesa badilikeni. Haiwezekani sehemu mnayokaa Kwa zaidi ya masaa nane Kwa iwe mbovu kiasi hicho, chumba kimoja kidogo mnajibana wawili au watatu... Mnatumia public toilet, hakuna TV, hakuna desktop, laptop zenyewe zimechoka. Bora nisingeyafahamu haya nikanyamaza lakini naamini nikiandika hapa ntawaamsha watu kwenda kuwatembelea waalimu wao na kuwapa zawadi za meza za kisasa, viti vya kisasa, TV NK.

Labda nimeover expect lakini prof anapaswa awe mtu anayejijali, anayepokea machapisho na kuaandaa machapisho, anayefanya consultation every time that means anapaswa kuwa na Ofisi ambayo inamsadia kutekeleza majukumu yake.

LABDA NITOE USHAURI
1. Pamoja na miundombinu finyu, chuo kila Prof awe na chumba chake chenye meza nzuri, milango mizuri, TV na desktop

2. Tengeni vyumba maalum ambapo watakaa wasaidizi wa Maprofesa. Kwa maana nyingine incase kuna mwanafunzi au MTU anakuwa na program mahususi na Prof basi awe na sehemu anapoweza kukaa na kufanya KAZI.

3. Wekeni bajeti ya chai angalau Kwa wazee na wasomi wetu hawa watulize ubongo na kuwaza mambo mazuri yakuishauri serikali.

4. Waunganisheni kwenye miradi ya serikali wakaome Ofisi na mandhari wanaoishi wahitimu wao.

5. Maprofesa na Madaktari mliotolewa jalalani please wasaidieni wenzenu kifikra waishi maisha ya KAZI yanayoendana na hadhi ya elimu waliyonayo.

6. Kwa kuwa serikali na Maprofesa wenzenu haitawatekelezea niliyoandika 1-5 basi tengeni bajeti mfanye maboresho ya Ofisi zenu kwani muda mwingi wa maisha yenu mnautumia chuoni na ofisini kuliko sehemu nyingine yoyote. Mkikosa Amani na Ofisi mnayokaa mtapata tatizo la kiafya ikiwemo afya ya akili. Kama ninyi niwaalimu wetu onyeshe uprofesa wenu kwenye mazingira yenu ya KAZI.

Hii nimeandika Kwa UDSM lakini naamini vyuo vingine hawa wasomi labda Wana Hali mbaya zaidi yakuishi mazingira Duni wakisubiri serikali na mwajiri afanye miujiza.

Rafiki yangu najua ujajua kwamba nimeumizwa na Ofisi zenu Ila tambua kubadilika kunaanza nawewe... Mnamiliki vipi maguorofa huku mkiishi kwenye Ofisi Duni? Maisha yako ya fahari unaweza unayatengeneza mwenyewe.

I'll be back kuona mmebadilika? Kabudi was right those days.
pesa yenyewe ya R&D hamna unategemea serikali ndio iwaboreshee ofisi.
sasa apewe ofisi nzuri nawakati hata serikali yenyewe haijawekeza cha kutosha katika R&D
 
Back
Top Bottom