Huu mtanange ni mkali zaidi ya shubiri...tupendane sisi kwa sisi na miili yenu iwe chakula chenu nyote,msinyimane maana kwa kufanya hivyo mtakuwa mmepunguza upendo wa Mungu kwenu (parable statement)
Tatizo hatutafakari maneno tuliyofundishwa kwa kina,hatutaki kuumiza vichwa kutafakari badala yake tunakuwa lax,tunapoteza mda mwingi kusikiliza miziki,kwenda baa,club,kufanya vitu ambavyo havihitaji kufikiria sana ila kama tungetulia tukatafakari statement kama hiyo hapo juu naamini tusingekuwa tunakosa upendo kati yetu...
Dunia imetuweka bize sana ili tukose mda wa kutosha kutafakari na finally the more you gain the more you loose,dawa zote ni belief na dawa zina kikomo ndo maana hata hospital watu wanaendelea kufa