Habari za muda huu wana JF! Leo nazungumzia jinsi navyopitia mapito,
Kwanza nianze kwa kusema mimi mr future naamini uchawi upo kwa 100%
Ilianza kama utani kila jambo jema lilianguka katika mzunguko wa maisha yangu, nilipoona mambo hayaendi niliamua kutumia chumvi ambapo nilijifunza matumizi yake humu humu kipitia threads za Mshana Jr , ilikuwa 2019 nilipata ahueni kidogo, lakini hivi sasa nahisi mambo magumi mikosi imeniandana, lakini nikawa nachukulia poa, lakin nikajikuta Nimeachika kwenye mahusiano yote, nikashangaa nikitembea nakutana na vichaa wanaanza kunipigia kelele bila woga dah, nikaanza kufatilia dailil nikagundua ni nuksi tu.
Siku hizi kila nalopanga linaanza vema likifikia kwenye touch line, linafel roho inakuwa inasonona kila mwanamke naye mfata anachomoa nikasema labda vigezo ila nizidi kuona mazigaz hata salamu sikumbukwi na ndugu hata marafiki, nikaanza kutumia kuna formula za madawa ya kutoa nuksi lakin hola
Moja ya formula alitoa bwana rakims lakin nikafatilia maelezo yake huwa hayako vzuri so nashindwa kuelewa vizuri, miez kadhaa ilopita nikatumia mafuta fulani ya kuondoa nuksi si haba yalinisaidia kdgo lakin nilpoacha tu gundu ikarudi,
Lengo la kuandika thread hii ni kutaka msaada najua wapo wengi humu kama mimi
Anayejua formula ya kuchanganya madawa ya kisheria au mafuta yaliyo somewa kusomo karibu tusaidiane
NB: Hata simu nimeazima nispojib comment mtanisamehe,
Wafatao nimefatilia thread zao wana jua haya mambo
cc:
Mshana Jr
Rakims
MZIZI MKAVU
Pasco mayalla
Karibu
Kwanza nianze kwa kusema mimi mr future naamini uchawi upo kwa 100%
Ilianza kama utani kila jambo jema lilianguka katika mzunguko wa maisha yangu, nilipoona mambo hayaendi niliamua kutumia chumvi ambapo nilijifunza matumizi yake humu humu kipitia threads za Mshana Jr , ilikuwa 2019 nilipata ahueni kidogo, lakini hivi sasa nahisi mambo magumi mikosi imeniandana, lakini nikawa nachukulia poa, lakin nikajikuta Nimeachika kwenye mahusiano yote, nikashangaa nikitembea nakutana na vichaa wanaanza kunipigia kelele bila woga dah, nikaanza kufatilia dailil nikagundua ni nuksi tu.
Siku hizi kila nalopanga linaanza vema likifikia kwenye touch line, linafel roho inakuwa inasonona kila mwanamke naye mfata anachomoa nikasema labda vigezo ila nizidi kuona mazigaz hata salamu sikumbukwi na ndugu hata marafiki, nikaanza kutumia kuna formula za madawa ya kutoa nuksi lakin hola
Moja ya formula alitoa bwana rakims lakin nikafatilia maelezo yake huwa hayako vzuri so nashindwa kuelewa vizuri, miez kadhaa ilopita nikatumia mafuta fulani ya kuondoa nuksi si haba yalinisaidia kdgo lakin nilpoacha tu gundu ikarudi,
Lengo la kuandika thread hii ni kutaka msaada najua wapo wengi humu kama mimi
Anayejua formula ya kuchanganya madawa ya kisheria au mafuta yaliyo somewa kusomo karibu tusaidiane
NB: Hata simu nimeazima nispojib comment mtanisamehe,
Wafatao nimefatilia thread zao wana jua haya mambo
cc:
Mshana Jr
Rakims
MZIZI MKAVU
Pasco mayalla
Karibu