Ogopa kupata nuksi au nyota yako kushuka

Mada kama hii, wachangiaji na watoaji shuhuda wengi ni wapigaji!

Hii ina jina lake, inaitwa 'kujazia!' [emoji12]

Wabeshi sio watu wazuri kabisa! [emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nayejua formula ya kuchanganya madawa ya kisheria au mafuta yaliyo somewa kusomo karibu tusaidiane
kaka nikwambie kitu, kinachokusumbua wewe ni mizimu ya kwenu ambayo inataka kuabudiwa - kwa hiyo inakukwamisha maksudi ili usifike mafanikio unayotarajia - ukwame kwanza kisha urudi uiabudu. Kumbuka Mizimu ni roho za mababu za kila koo ambazo zinaishi kizazi na hata kizazi.

Mchawi hawezi kuchezea nafsi yako kirahisi, ni lazima ajue kwanza tambiko lako hivyo labda apitie kwa ndugu yako kwanza... so kwa hiyo nuksi uliyonayo ni ya kurithi toka mababu zako, mizimu yenu ya ukoo inakupa adhabu wewe na wenzao mmegoma kuiabudi au kwa maksudi ama hamjui.

Cha kufanya sasa, you have two options.

1. Jaribu kutafuta watu wanaoweza kukusaidia hiyo mizimu yenu iongee inataka nini ili ufanye ili ikuachilie, na ni lazima ufundishwe ujue namna ya kuiabudu ukifanya hivyo mambo yako yatakuwa mazuri - hujarogwa wewe.

2. Sali/ funga na Muombe Muumba wako kwa dini yako, funga na mlilie utafunguliwa - tena kama wewe ni mkristo ni kazi rahisi mno maana damu ya Yesu ipo bure kwa ajili yako maana ilikwisha toka pale karivali.

Ningekuwa mimi ningechagua option no 2...its simple and permanent.

Kila la kheri.
 
Wana heri sana wanaomjua Bwana Yesu na nguvu zake, hakuna cha mzizi, chumvi, mganga au nini. Ni kwa Jina la Yesu tu nuksi zote huondoka mara moja. Mtafute Yesu Kristo utapona mara moja.
 

Ahsante mkuu kwa ushauri mzuri wa kiwango cha Fry over, nitaufanyia kazi
 
mkuu napitia magumu nimesha poteza kila kitu nisaidie mwanga nifike kwa padri 0694185384
 
Ndg pole sana M/Mungu atakusaidia,hiyo khari nami naipitia sana nilipata ushauri wa kutumia chumvi kutoka kwa Mshana Jr kuna unafuu nauona
Ule uzi.... Nimeutafuta wake Mshana Jr kuhusu chumvi ya mawe sijaupata. Naomba unitag kama utakutana nao huko njiani....😂
 
 
Chumvi ya mawe tia kwenye kopo iwache iyayuyuke then engeza kidogo mkononi ili ujisugulie kama sabuni alafu jimwagie huku ukijisemea kiroho kua unaondoa mikosi Na nuksi Fanya ndani ya sik 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…