Ogopa kupata nuksi au nyota yako kushuka

Ogopa kupata nuksi au nyota yako kushuka

Mkuu mbongo_halisi, mimi sio mchawi wala maisha hayajanishinda bali napitia changamoto za kawaida za maisha, ups and downs kwenye life ni vitu vya kawaida. Mimi humu jf ni Mwalimu wa masomo mawili kuhusu maisha.
1. Powers, yaani wewe una nguvu za Kimungu ndani yako zinazokuwezesha kufanya kila kitu, kushinda kila vita na kupata kila mafanikio kwa kuitegemea nguvu ya Mungu iliyomo ndani yako.

2. Karma ni mapito anayopitia sasa ni matokeo ya matendo yako au ya wazazi wako, hivyo mafanikio, majanga, mikosi, nuksi zinaweza kuwa ni 1. Malipo, 2. Manusura 3. Majaribu.
P
Sawa Boss
 
nikwel hayo yapo, na omba yasikukute ukiwa hujawai kupamban na changamoto za kimaisha ama hujakomaab ktk kupambana na hayo mambo.

..unafika wakati ndugu wanakusahau,
..marafik wanakuwa hawaelewek(hawakuelew)
..mahusiano kuyumba, kila unaempata hamdumu, na mkidumu basi migogoro kila kukicha
..maisha kuyumba, ugumu kuongozeka, kazin kukosa mvuto ama kuchukiwa bila sabbu
..watoto& baazi ya wanyama kukuogopa bila sabbu
...kuota ndoto za aina moja ama zinazojirudia rudia mfano , kuota ndoto za kurudi shule, kukimbizwa, kupanda vilima/miinuko, kupambana na nyoka ama wanyama

haya ni baazi ya mambo yanaweza kuonesha maisha yako hayapo vzr spiritual, na sabbu zake zipo nying
[emoji117]kulogwa
[emoji117]kudhurumu mali za watu, ambapo vilio vyao na vinyongo vyao hukuletea nuksi
[emoji117]ushawai kwenda kwa mganga na ukapewa dawa ya mvuto, na huenda dawa iyo ikawa outdated(kuisha nguvu)
[emoji117]kufanya uzinifu na wanawake tofaut tofaut hasa wenye vifungo
[emoji117]mahal unapoishi(nje ya eneo la kipawa chako&mvuto wako), jina unalotumia(urithi wa mtu), watu unaoshirikiana nao(wana vifungo&wana husda&hamuendan kiutafutaji), mahala unapolala(kuna vifungo vya kishirikina), kaz unayoifanya(nje ya kipawa chako)

sasa ili kujua unajitibuje jarbu kusolve haya mambo niliyoandika, achana na waganga aisee watakupotezea muda wako, japo wapo wanaosaidia kwel ama kukupoteza kweli kweli, dawa ya matatizo yako ni kuchunguza asili ya tatizo lako kwanza, acha kubeti maisha yako kwa kutumia kila dawa kisa umesikia inaponya, tafuta dawa ya tatizo lako[emoji117] chunguza muenendo na matukio ya ndoto uotazo na znazokunyima usingiz(kujirudia) then fanya maamuzi
Mmm kwenye ndoto za kukimbizwa hapo naota sana halafu hio moja tu inajirudia mara kibao mpaka nimeizoea nikiota najua inaenda kuishia wapi, na kukimbizwa na nyoka pia naota sana. Kumbe nipo hatarini.
 
Mmm kwenye ndoto za kukimbizwa hapo naota sana halafu hio moja tu inajirudia mara kibao mpaka nimeizoea nikiota najua inaenda kuishia wapi, na kukimbizwa na nyoka pia naota sana. Kumbe nipo hatarini.
ndio hapo sasa tatzo lako liliko, kawafuate wahudumu wa imani yako wakufanyie visomo/maombi, ukiona huoti tena juwa kuwa umeshinda ama umeshindwa kwa kufungwa macho usione maono/ndoto zaid....jichunguze maisha yako watu wako wa karbu, maadui zako na marafiki zako, puuza wale wanafiki wote, punguza mabifu yasiyo ya maana, acha kushabikia ndugu ama watu wa karbu, na hakikisha una solve mgogoro wako wowote na mtu yeyote, iwe madeni ama nini hakikisha umesolve, yakiendelea kukutesa rudi hapa tujue unasaidikaje
 
ndio hapo sasa tatzo lako liliko, kawafuate wahudumu wa imani yako wakufanyie visomo/maombi, ukiona huoti tena juwa kuwa umeshinda ama umeshindwa kwa kufungwa macho usione maono/ndoto zaid....jichunguze maisha yako watu wako wa karbu, maadui zako na marafiki zako, puuza wale wanafiki wote, punguza mabifu yasiyo ya maana, acha kushabikia ndugu ama watu wa karbu, na hakikisha una solve mgogoro wako wowote na mtu yeyote, iwe madeni ama nini hakikisha umesolve, yakiendelea kukutesa rudi hapa tujue unasaidikaje
dah asante mkuu kuna mtumishi niliwahi mfuata akaniombea na kuniosha miguu akaniambia sababu ni mzaliwa wa kwanza ndo mana nina mapambano makubwa.

Migogoro sidhani mimi ni mtu flani mkimya sana sina interaction kubwa na watu sio mtu wa story pia ni mimi na ndani na hata unikosee nakusamehe napita kushoto kwahiyo migogoro hapana labda hayo mengine but asante acha nijaribu hayo.
 
Ulishawahi kwenda kwa mganga?!!
Kuna stori flan niliwahi kuiskia kwa jamaa ambae zaman alikua ni mganga badae akaacha.
Anasema ilikua mtu akifika kwake kwa Mara ya kwanza anacho kifanya ni kuangalia nyota ya huyo mtu na kama ipo vizuri anaiteka na kama ipo vibaya basi anaangalia nyota ya mtoto wako kama iko vzur anaiteka
Akiichukua atakuja kumpa mtu mwngne ambae anatoa kafara kubwa zaid yako lakin inakua kwenye miliki yake akiamua kuichafua anaichafua muda huo wewe alieteka nyota yako anakusafisha geresha ili baada ya muda uwe unarud rud kwake kutibia ila matatizo hayatakuisha itakua yanapoa tu badae yanarudi.

Kwenda kwa mganga ni jambo baya sana kila mtu ana nyakati zake za furaha na nyakati za matatizo, ikiwa unapitia nyakat za matatzo Muombe Mungu tu utavuka na utaingia nyakat za furaha ila ukijichanganya kwenda kwa mganga unaenda kuharibikiwa kabisa ndo maana ukienda kwa mganga Mara moja utajikuta unarudi mara kwa mara .
 
Ulishawahi kwenda kwa mganga?!!
Kuna stori flan niliwahi kuiskia kwa jamaa ambae zaman alikua ni mganga badae akaacha.
Anasema ilikua mtu akifika kwake kwa Mara ya kwanza anacho kifanya ni kuangalia nyota ya huyo mtu na kama ipo vizuri anaiteka na kama ipo vibaya basi anaangalia nyota ya mtoto wako kama iko vzur anaiteka
Akiichukua atakuja kumpa mtu mwngne ambae anatoa kafara kubwa zaid yako lakin inakua kwenye miliki yake akiamua kuichafua anaichafua muda huo wewe alieteka nyota yako anakusafisha geresha ili baada ya muda uwe unarud rud kwake kutibia ila matatizo hayatakuisha itakua yanapoa tu badae yanarudi.

Kwenda kwa mganga ni jambo baya sana kila mtu ana nyakati zake za furaha na nyakati za matatizo, ikiwa unapitia nyakat za matatzo Muombe Mungu tu utavuka na utaingia nyakat za furaha ila ukijichanganya kwenda kwa mganga unaenda kuharibikiwa kabisa ndo maana ukienda kwa mganga Mara moja utajikuta unarudi mara kwa mara .
True! Ujatoa suluhisho
 
Ndg pole sana M/Mungu atakusaidia,hiyo khari nami naipitia sana nilipata ushauri wa kutumia chumvi kutoka kwa Mshana Jr kuna unafuu nauona
 
Ulishawahi kwenda kwa mganga?!!
Kuna stori flan niliwahi kuiskia kwa jamaa ambae zaman alikua ni mganga badae akaacha.
Anasema ilikua mtu akifika kwake kwa Mara ya kwanza anacho kifanya ni kuangalia nyota ya huyo mtu na kama ipo vizuri anaiteka na kama ipo vibaya basi anaangalia nyota ya mtoto wako kama iko vzur anaiteka
Akiichukua atakuja kumpa mtu mwngne ambae anatoa kafara kubwa zaid yako lakin inakua kwenye miliki yake akiamua kuichafua anaichafua muda huo wewe alieteka nyota yako anakusafisha geresha ili baada ya muda uwe unarud rud kwake kutibia ila matatizo hayatakuisha itakua yanapoa tu badae yanarudi.

Kwenda kwa mganga ni jambo baya sana kila mtu ana nyakati zake za furaha na nyakati za matatizo, ikiwa unapitia nyakat za matatzo Muombe Mungu tu utavuka na utaingia nyakat za furaha ila ukijichanganya kwenda kwa mganga unaenda kuharibikiwa kabisa ndo maana ukienda kwa mganga Mara moja utajikuta unarudi mara kwa mara .

Kama alishawahi kwenda Kwa mganga unamsaidiaje
 
Uchawi upo unakumbuka Yule dogo aliyekua anashindana na msanii namba moja mpaka Leo hajulikani alipo.
 
All in all mtafute sana Mungu na uwekeze kwake ambapo nondo na mchwa hawafiki, haya mengine ni kujilisha upepo!.
 
Back
Top Bottom