nikwel hayo yapo, na omba yasikukute ukiwa hujawai kupamban na changamoto za kimaisha ama hujakomaab ktk kupambana na hayo mambo.
..unafika wakati ndugu wanakusahau,
..marafik wanakuwa hawaelewek(hawakuelew)
..mahusiano kuyumba, kila unaempata hamdumu, na mkidumu basi migogoro kila kukicha
..maisha kuyumba, ugumu kuongozeka, kazin kukosa mvuto ama kuchukiwa bila sabbu
..watoto& baazi ya wanyama kukuogopa bila sabbu
...kuota ndoto za aina moja ama zinazojirudia rudia mfano , kuota ndoto za kurudi shule, kukimbizwa, kupanda vilima/miinuko, kupambana na nyoka ama wanyama
haya ni baazi ya mambo yanaweza kuonesha maisha yako hayapo vzr spiritual, na sabbu zake zipo nying
[emoji117]kulogwa
[emoji117]kudhurumu mali za watu, ambapo vilio vyao na vinyongo vyao hukuletea nuksi
[emoji117]ushawai kwenda kwa mganga na ukapewa dawa ya mvuto, na huenda dawa iyo ikawa outdated(kuisha nguvu)
[emoji117]kufanya uzinifu na wanawake tofaut tofaut hasa wenye vifungo
[emoji117]mahal unapoishi(nje ya eneo la kipawa chako&mvuto wako), jina unalotumia(urithi wa mtu), watu unaoshirikiana nao(wana vifungo&wana husda&hamuendan kiutafutaji), mahala unapolala(kuna vifungo vya kishirikina), kaz unayoifanya(nje ya kipawa chako)
sasa ili kujua unajitibuje jarbu kusolve haya mambo niliyoandika, achana na waganga aisee watakupotezea muda wako, japo wapo wanaosaidia kwel ama kukupoteza kweli kweli, dawa ya matatizo yako ni kuchunguza asili ya tatizo lako kwanza, acha kubeti maisha yako kwa kutumia kila dawa kisa umesikia inaponya, tafuta dawa ya tatizo lako[emoji117] chunguza muenendo na matukio ya ndoto uotazo na znazokunyima usingiz(kujirudia) then fanya maamuzi