Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hilo lako tudera hilihili au kuna lingine linaongelewa
Mpiga picha nitaruhusiwa?Tunaovaa Madera katibu wenu nawataarifu tuna kikao cha dharura.
Maziwa kuna brazia zao zina chuma ya kupiga jeki yanasimama. Yote 9, wa dera huniamsha sana kuliko aliyevaa suruali au gauni.Kabisa, mavazi hu reflect inward behaviour ya mtu
Tena ukute kale kaembamba, vichuchu saa sita kameshikilia dera kwa mkono mmoja? Maweee!!!!! Mcharuku ++
Unaokota hako unapeleka nyumbani eti umepata kitu saasiti[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]Hakuna rangi utaacha kuiona
Sema chukuchuku mkuuJuu ya yote hawavai chupi !!
Dera bila kalio ni kanzu tuHuu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Yesu nitie nguvu baba.. peke yangu siwezi🙌🙌🙌Mama pretty anavaaga ya rangirangi kabisa ndo maana kila siku wamsumbua shemeji,ile kesi ya kumng'ata kichwa mliimaliza..??😅
Udundwe tu hakuna namna..🤣Yesu nitie nguvu baba.. peke yangu siwezi🙌🙌🙌
Na kati yao mmoja wao ni dada wa mtoa madaMademu zangu wote wanavaa Madera na wakopowa kabisa. Au umeingia mjini hivi karibuni.
Labda ukitahiri itakusaidia
Dera ni nguo tu....uogope nguo!..Huu ni ushauri wangu kwenu wakulungwa wenzangu. Mwanaume mwenzangu ogopa sana mwanamke anayevaa dera tena mchana. Utakuja kunikumbuka.
Duh!..Ogopa mwanamke anayevaa magwanda ya Chadema!
Sio kweliHata kanzu nayo dera
Tunapunga upepo mkuuJuu ya yote hawavai chupi !!
Huruhusiwi kabisaMpiga picha nitaruhusiwa?