Ogopa sana hili jambo kwenye Daladala

Ogopa sana hili jambo kwenye Daladala

Screenshot_20240920-231311.jpg
 
Kwahy humuamini abiria jirani yako ila unamuamini konda? 😂

Una uhakika gn huyo abiria na mchovu na mshirikina kama wewe? 😂
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta ( wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina

Nawasilisha;
Kwa akili hii utapata shida sana, hela ni kitu ambacho kinabadili mikono sana, yaani inatoka mkono huu kwenda mwingine.. sasa utaombea hela zote.. ingekuwa hivyo ungetengeneza hela zako.
 
Hela haiombewi, ila unai command.

Ikashibishe kwenye njaa,

Ikalete amani kwenye mifarakano,

Ikatibu kwenye magonjwa,

Ikalete furaha kwenye huzuni.

Etc
 
imani zakijinga tu!,kama hizo nguvu zingekuwepo nani angeukumbatia umaskini..?
ningewanga mpk niwe tajiri no moja duniani...😂
kwani unafikiri uchawi ni kukuletea utajiri? uchawi ni kukufanya uwe masikini
 
Sasa umeeasilisha nn?

Kwani hiyo miatano au 1000 Ina picha Yako Hadi ugofie u hawi?
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Kimekukuta nn mkuu
 
Salaam wanajukwaa

Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji )

Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua hela, mfano mnapoenda nauli ni miatano, sasa wewe ukatoa miatano alafu jirani yako akatoa buku alafu akasema naomba hiyo miatano alafu akampa konda buku.

Ogopa sana hii kitu, na pia ndio maana watu wanashauri hela unayotoka nayo nyumbani kwenda kwenye mihangaiko iombee sana.

Humu kwenye madaladala kuna mambo mengi sana ya kishirikina.

Nawasilisha.
Vipi kama mimi ni muuza maji na kwa dilisha la hiyo daladala, hiyo mia tano ndo napewa kulipia maji, niiache?
 
Ajabu unakuta mtu hapa anamponda mleta mada mshirikina wakati na yeye utamkutq thread ingine kakomaa kusema huwezi kuwa tajiribila kuroga!
 
Nyie ndiyo asubuhi mkiombwa chenji hamtoi 😄

Ova
 
Back
Top Bottom