Ogopa sana hili jambo kwenye Daladala

Daah lengo la kutaka wenye magari wasichangie kumbe ni kupunguza jam ya watu kwenye uzi wako maana umeandika vitu vya kushangaza, kwahiyo huyo mtu anapanda daladala kutegea kulipa buku alafu jirani yake atoe jero wajirudishie change.

Na huyo mwenye jero financial status yake ikoje mpaka iathirike kutokana na huyu mzee wa buku

Hii hata mie "mtembea kwa miguu" nakataa labda waje wenzako wapanda daladala
 
Umaskini ukiuchanganya na ushirikina inakuwa combination moja deadly sana.
 
Wengine daladala ndy usafiri wetu na tunaukubali sana

Ova
 
Hivi circle ya pesa unaijua mkuu mpaka inakufikia alafu unaposema wenye magari yal haiwahusu je kwmb hyo pesa ilotolewa kwenye daladala haitakaa imfikie??
 
Kama pesa unazo ni unazo tu mkuu,na kama huna huna tu....hazivutwi kichawi
Ulichoandika ni Perfect, na nakupa point best wangu.

Kijana mdogo anaamini ujinga. Congo inasemekana kuwa na wachawi wengi katika bara la Africa , lakini ndio nchi masikini kuliko nchi yoyote hapo EAC.

Ingekuwa hiki anachoamini mleta mada ni kweli, basi saa hizi wachawi wa Congo wangekuwa wameshaiteka Rwanda na kumgeuza Kagame msukule.
 
Kagame ndy kwqnza anawanyoosha wakata mauno wale GENTAMYCINE

Ova
 
Huu ni uchiiji wamotoo
 
imani zakijinga tu!,kama hizo nguvu zingekuwepo nani angeukumbatia umaskini..?
ningewanga mpk niwe tajiri no moja duniani...😂
Waafrika, tumejengwa kwenye imani za kuamini kuwa hali zetu ni matokeo ya nguvu fulani kutoka kwa watui wengine.

Yaani maskini wa kutupwa ana wasiwasi na kapuku mwenzake kuwa anachukua bahati yake.

Ni imani za hatari na kijinga sana.
 
Kabla ya hyo pesa kukufikia mikononi mwako,ilitoka wapi au uliizalisha mwenyewe.
Kamailitoka kwa mtu unajua inausalama kiasi gani hadi ukaitia mikononi mwako.
 
Siku moja moja uwe unatumia Bolt, hampandi wengi
 
Hakika bro
 
Sa mbona mi nakaaga na mtu halafu nikiona anatoa mia tano na mie nina buku namwambia anipe
Hakafu siifanyiagi kitu....nipe dili basi maana mie na daladala ni kidole na pete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…