Ogopa sana mwanamke mwenye tatoo, kipini na kikuku kwa pamoja

Wavaa suruali mbano
 
😂😂😂asante kwa upendo wa agape.....kuna ubaridi umeniingia sikuhizi sijui moyo wangu umepatwa na nini
Hata mimi huku kuna ubaridi nauexpirience itakuwa umepatwa na mimi 😅😉
 
😀😀😃😃😃😄
 
Sasa wenzio ndio tunawapenda hao. Hatutak waliopoa km poozeo.
 
Unakuta jembe lina tatoo, matundu mawili ya hereni kila sikio, hereni kwenye pua, bleach, shanga kiunoni na kikuku.
 
Mininachojua hao watu ni wapenda unga na bangi @matatoo@maherini mengi vipuli vya pua na vya ulimi tumboni na mapete vidoleni nasio lazima wawe wanawake ni jinsia yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…