Ogopa sana mwanamke mwenye tatoo, kipini na kikuku kwa pamoja

Hahaha 🀣🀣 ila hata mm huwa nahis kuwa ni uzushi kuhusu wavaa vikuku
 
Yakuambiwa changanya na zako. Hapo umebakiza wale wenye vipini puani, usisahau kuleta mrejesho.
 
🀣🀣🀣🀣🀣sijui umetupiga ila umenichekesha sana🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣 Ww em tukome.!!
Vipini na vikuku ni urembo, ila nyie wamatumbi na tafsiri zenu za kimangungo mnajitia ujuaji.!!
 
🀣🀣🀣🀣 Nimecheka mpk naonekana nimechanganyikiwa dah.!!
Mbaga Jr njoo uone shuhuda huku
 
Acha urugaruga,kua ambao hawana hivyo vyote ila ni malaya wa kutupwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyo jamaa kanichekesha sana alichokutana nacho, hataki tena kuwasikia wavaa vipini na vikuku
Mm c ndo maana nmekuchagua ww huna mambo mengi kwenye mwili wako 😍
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jidanganye
Nna bonge la tattoo la dragon shingoni na vipepeo wa kutosha
Eh kwahy tukiwa tunafanya dog style Huyo dragon atakuwa kama ananizomea hv eee
 
Bora hata hao ni mabinti muogope kabisa mmama aliyevaa gauni au sketi iliyo juu ya magoti!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…