GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Alichoandika kwenye uzi huu na kilichopo kwenye uzi uliorefer ni kitu kimoja labda kama huelew kiswahiliPopoma siku zote huwa hakumbuki ya nyuma. Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili 2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana 3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni 4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa 5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji...www.jamiiforums.com
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Chizi kalogwa Tena huyo.Popoma siku zote huwa hakumbuki ya nyuma. Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili 2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana 3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni 4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa 5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji...www.jamiiforums.com
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kila kitu unajuaKuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.
Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni Mgeni ukienda huko huwa Wanakukarimu mno na wala hawakufanyii Fujo, ila Shughuli yao utaiona Siku yenyewe ya Mechi ndani na nje ya Uwanja ambapo hutoamini kama ndiyo wale wale waliokupokea vyema hadi Ukawasifia kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wako wa Kutowajua Waarabu na hata Kutokuwahi Kusafiri Nje ya Tanzania.
Hivi kumbe wale Alhilal ni waarabu?
Mtani acha bangi...si ulisema watapigwa mawe na chupa mtaani?Kuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.
Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni Mgeni ukienda huko huwa Wanakukarimu mno na wala hawakufanyii Fujo, ila Shughuli yao utaiona Siku yenyewe ya Mechi ndani na nje ya Uwanja ambapo hutoamini kama ndiyo wale wale waliokupokea vyema hadi Ukawasifia kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wako wa Kutowajua Waarabu na hata Kutokuwahi Kusafiri Nje ya Tanzania.
Mtoa mada ni POPOMAMleta mada wewe ulitaka Yanga wapokelewe vipi huko Sudan?
Kama Yanga wamepokelewa vizuri huko Sudan, wewe ulitaka Yanga waseme nini tofauti na hivyo?
Hakuna sababu ya kucomplicate vitu vidogo na vya kipuuzi.
Andaa hoja mpya baada ya saa 5 usiku wa leo najua unazo gia zaidi ya 12 kwaiyo unabadilisha kulingana na upepo uliopo muda huoKuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.
Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni Mgeni ukienda huko huwa Wanakukarimu mno na wala hawakufanyii Fujo, ila Shughuli yao utaiona Siku yenyewe ya Mechi ndani na nje ya Uwanja ambapo hutoamini kama ndiyo wale wale waliokupokea vyema hadi Ukawasifia kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wako wa Kutowajua Waarabu na hata Kutokuwahi Kusafiri Nje ya Tanzania.
Ahahahahaha manaake hapo nichek kwanzKuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.
Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni Mgeni ukienda huko huwa Wanakukarimu mno na wala hawakufanyii Fujo, ila Shughuli yao utaiona Siku yenyewe ya Mechi ndani na nje ya Uwanja ambapo hutoamini kama ndiyo wale wale waliokupokea vyema hadi Ukawasifia kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wako wa Kutowajua Waarabu na hata Kutokuwahi Kusafiri Nje ya Tanzania.
sasa mbona ni kitu kilekile amesema?Popoma siku zote huwa hakumbuki ya nyuma. Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Uzoefu wangu wa Kutisha kwa Timu ambazo huenda Kucheza Mechi Khartoum Sudan
1. Mapokezi ya Uwanjani huwa ni ya Kikatili 2. Wachezaji Kulishwa Sumu ni Kawaida sana 3. Basi mtakalotumia kupigwa Mawe si jambo geni 4. Mechi ikiwa inaendelea Wachezaji wenu muhimu Kupigwa Chupa au Kuvamiwa si la Kushangaa 5. Timu ikiwa inaenda Vyumbani wakati wa Mapumziko Wachezaji...www.jamiiforums.com
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Mkuu Cake ya CEO inahusikaje na kufungwa? vitu vingine hua manavikuzaUmeongea ukweli mtupu simba ishawahi mtokea hiyo, Ceo alipokea cake na zawadi ya uwa kilicho tokea simba kafa goal3