Ogopa sana ukienda Kucheza Ugenini tena kwa Waarabu halafu ukapokewa vizuri kwani huo huwa ni Mtego

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mpuuzi Mmoja nimemsikia ( kwa sasa nimemsahau Jina ) akisema tena kwa Kufurahia na Kuwapongeza Wenyeji kuwa wamepokelewa vyema.

Na kwa tunaowajua vyema Waarabu ( hasa Timu zao ) ukiwa ni Mgeni ukienda huko huwa Wanakukarimu mno na wala hawakufanyii Fujo, ila Shughuli yao utaiona Siku yenyewe ya Mechi ndani na nje ya Uwanja ambapo hutoamini kama ndiyo wale wale waliokupokea vyema hadi Ukawasifia kutokana na Ushamba ( Umbwiga ) wako wa Kutowajua Waarabu na hata Kutokuwahi Kusafiri Nje ya Tanzania.
 
Popoma siku zote huwa hakumbuki ya nyuma. Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu


Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Alichoandika kwenye uzi huu na kilichopo kwenye uzi uliorefer ni kitu kimoja labda kama huelew kiswahili
 
Chizi kalogwa Tena huyo.
 
Kila kitu unajua
 
Mleta mada wewe ulitaka Yanga wapokelewe vipi huko Sudan?
Kama Yanga wamepokelewa vizuri huko Sudan, wewe ulitaka Yanga waseme nini tofauti na hivyo?

Hakuna sababu ya kucomplicate vitu vidogo na vya kipuuzi.
 
Umeongea ukweli mtupu simba ishawahi mtokea hiyo, Ceo alipokea cake na zawadi ya uwa kilicho tokea simba kafa goal3
 
Uliona kulala ujaandika Uzi siku haitakwenda haita vzr
 
Mtani acha bangi...si ulisema watapigwa mawe na chupa mtaani?
 
Mleta mada wewe ulitaka Yanga wapokelewe vipi huko Sudan?
Kama Yanga wamepokelewa vizuri huko Sudan, wewe ulitaka Yanga waseme nini tofauti na hivyo?

Hakuna sababu ya kucomplicate vitu vidogo na vya kipuuzi.
Mtoa mada ni POPOMA
 
Andaa hoja mpya baada ya saa 5 usiku wa leo najua unazo gia zaidi ya 12 kwaiyo unabadilisha kulingana na upepo uliopo muda huo
 
Ahahahahaha manaake hapo nichek kwanz
 
sasa mbona ni kitu kilekile amesema?
 
Umeongea ukweli mtupu simba ishawahi mtokea hiyo, Ceo alipokea cake na zawadi ya uwa kilicho tokea simba kafa goal3
Mkuu Cake ya CEO inahusikaje na kufungwa? vitu vingine hua manavikuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…