Na wewe acha kuwa mbishi bhana! Uzi wake wa Septemba, alisema hao Waarabu koko wa Sudan, wana tabia ya kuwapokea wageni kwa fujo, ukatili na takataka nyingine.
Na kwenye huu uzi wake hapa, anajikosha kwa kutoa onyo kwa timu zinazo polewa vizuri na hao Waarabu! Na hapa ni baada ya Yanga kupokelewa vizuri bila shaka!
Sasa kwa muktadha huo, huoni tu kama huyu Popoma anajichanganya?