Oh God why was I born with Somali origin!!!

Oh God why was I born with Somali origin!!!

Mjukuu wa majangili nisikize wakinga pia tuna makosa mengi toka kwa wazee wetu kama mauchawi ,makafara ila hawakuumiza wasio wakinga ... wewe unaonekana teenager hujajua madhara ya hao great grand father wako enzi za 80's kulikuwa hakuna benk mawilayani wafanyabiashara tulikuwa tunatembea na cash ,njian lazima uone namna ya kukwepa wasomali mm personally niliwahi kwenda kuuza soda njombe wakati wa kurudi wasomali wakaomba lift (kumbuka derava alikuwa msomali) tatizo ni waliposimama ni eneo la wanyama wakali halafu jamaa anataka asimame washilikiane na magreat grand father wenzie hakujua nilikuwa na chuma nikamuwekea kichwani hadi naingia iringa mjini NBC ,mimi siwezi kukuchukia wala kukuhukumu kwa rangi yako ila watu sio wanakuonea ila matendo waliyoyashuhudia ya wazee wako yanaamsha uchungu kwa muonekano wako hata marekani wanawachukia sana (i lived there)
Mtuchukie au mtupende sisi tunapeta kama kawaida na Haki yangu ya kikatiba siwezi muomba mtu yeyote na kwa tarifa yako Mjinga mja hawezi fanya nichukie idara mja au nyingine kwa ujinga wake. Hao wazee wakisomali kama walifanya ujangili hio ni shida yao na mbele ya mungu watapokea malipo ya hayo maovu.
 
Hii nchi ya wote,fanya mambo yako,kula bata kama kawa,watu wengi asili yao ni kubaguana.mtu akikuomba Id na wewe muombe id,

Mbona hata somalia kwenyewe kila siku wanazinguana wakati ni watu wamoja kabisa.
Asante kwanza mimi huo sitembei na ID.
 
Jinsi lugha uliyotumia tu kueleza shida yako automatic unajitenga mwenyewe
 
Nimetoa ya moyoni, ila siwezi kujigenga.
Mimi nmekuelewa unafikiri
Unajifanya msomali hutaki hata lugha yako ya Tz harafu unalalamika nini?
Hatutaki ujinga sisi uende tu kwenu mpuuzi wewe kiswahili hujui harafu ni mtz
 
Mimi nmekuelewa unafikiri
Unajifanya msomali hutaki hata lugha yako ya Tz harafu unalalamika nini?
Hatutaki ujinga sisi uende tu kwenu mpuuzi wewe kiswahili hujui harafu ni mtz
Kwani mimi nilisema mimi mswahili?? Tuna makabila 124 na kila kabila lina lugha yake acha ushamba Dogo.
 
Kwani mimi nilisema mimi mswahili?? Tuna makabila 124 na kila kabila lina lugha yake acha ushamba Dogo.
Usilalamike sasa unatengwa kama wewe si mswahili unajitenga mwenyewe na jamii iliyokuzunguka.

Harafu usipende kuita watu dogo
 
Usilalamike sasa unatengwa kama wewe si mswahili unajitenga mwenyewe na jamii iliyokuzunguka.

Harafu usipende kuita watu dogo
Achana naye huyu sio mtanzania hajui wenzie uswahili ndo fahari yetu ,tena anaita watu dogo asiowajua,Hebu rudi kwenu tumekusaidia kutouliwa mogadishu unaanza kudeka deka hapa
 
Ooohhhh
Dont ignore urself rafiki
Dont low self esteem urself
Kumbuka unavyojichukulia vibaya ndivyo na watu wanakuchukulia hivyo.
Lakini kwanini uhisi watu wanakuwaza hivyo wakati hauko akilini mwao??!!u guess so aaaahhh
Nigga dont blame urself for anytng.
We live once.
Life is short cheer it up and be humble
 
Achana naye huyu sio mtanzania hajui wenzie uswahili ndo fahari yetu ,tena anaita watu dogo asiowajua,Hebu rudi kwenu tumekusaidia kutouliwa mogadishu unaanza kudeka deka hapa
Nirudi wapi??kwa kweli Wabongo ni watu waa Ajabu, mimi namini mimi na nyie tukienda uhamiaji mnaweza baki huko mja kwa mja, kwa sababu hata cheti cha kuzaliwa hapo ulipo unaweza ukawa hauna. Na tena si majabu unaweza ukawa na Asili ya DRc, Rwanda,au Burundi.
 
Nirudi wapi??kwa kweli Wabongo ni watu waa Ajabu, mimi namini mimi na nyie tukienda uhamiaji mnaweza baki huko mja kwa mja, kwa sababu hata cheti cha kuzaliwa hapo ulipo unaweza ukawa hauna. Na tena si majabu unaweza ukawa na Asili ya DRc, Rwanda,au Burundi.
Acha maneno mogadishu wamekumiss babu zako walikuja baada ya uhuru tukiprove hawakuuomba uraia tu ni siku ya furaha kuungana na jamii yako
 
Ooohhhh
Dont ignore urself rafiki
Dont low self esteem urself
Kumbuka unavyojichukulia vibaya ndivyo na watu wanakuchukulia hivyo.
Lakini kwanini uhisi watu wanakuwaza hivyo wakati hauko akilini mwao??!!u guess so aaaahhh
Nigga dont blame urself for anytng.
We live once.
Life is short cheer it up and be humble
Asante kwa ujumbe mzuri.
Acha maneno mogadishu wamekumiss babu zako walikuja baada ya uhuru tukiprove hawakuuomba uraia tu ni siku ya furaha kuungana na jamii yako
Aise sio kila Msomali ni wa Mogadisho!! We gone hicho kisomali hata salamu chenga!
 
Asante kwa ujumbe mzuri.

Aise sio kila Msomali ni wa Mogadisho!! We gone hicho kisomali hata salamu chenga!
Sina mpango wa kuua tembo wala kuteka meli kisomali cha nini ? by the way lets end nakutakia jioni njema mkuu.
 
The main source of what are facing is your own origin, look !! you people don’t even allow us to marry your beloved sisters and get inter marriage.
 
Back
Top Bottom