mylove2025
Member
- Dec 30, 2024
- 6
- 4
Niunganishe tuoaneKabisa Nina ndugu yangu mmoja anatimiza miaka 40 Hana mtoto na hajaolewa yeye mdomo na kulewa tu hovyo namuombea January hii aolewe inshallah 😎 tutafanya party kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niunganishe tuoaneKabisa Nina ndugu yangu mmoja anatimiza miaka 40 Hana mtoto na hajaolewa yeye mdomo na kulewa tu hovyo namuombea January hii aolewe inshallah 😎 tutafanya party kariakoo
Yupo humu ana I'd zake mbili utamuona inshallahNiunganishe tuoane
Hongera bro uko serious, kuna nafasi mbili hapo sasa....vuta wawili wengine uokoe jahaziDada mimi na wake official kabisa 2 na naishi nao vizuri kabisa na changamoto zote nazihimili nikisaidiana nao
Ever njoo nikuoe mpenzi tuishi maisha ya upendo daimaHongera bro uko serious, kuna nafasi mbili hapo sasa....vuta wawili wengine uokoe jahazi
Mwanamke bilionea haolewi anaoaEver njoo nikuoe mpenzi tuishi maisha ya upendo daima
Huyo maombi yaambatane na kilioKabisa Nina ndugu yangu mmoja anatimiza miaka 40 Hana mtoto na hajaolewa yeye mdomo na kulewa tu hovyo namuombea January hii aolewe inshallah 😎 tutafanya party kariakoo
Asikuone zerominus10Amina kwa sote….
Weeeeeye kwann😃Asikuone zerominus10
Sii dp yako inaonyesha pisi kaliWeeeeeye kwann😃
Naomba umuweke pia mjukuu wangu ephen_ kwenye haya maombi yako. Maana mwaka wa jana alipata wanaume watatu kwa nyakati tofauti, na wote aliwakataa!!Kila anayehangaika kupata mwenza ili aoe au aolewe, mwaka huu afanikiwe na sote humu pia tuwasaidie, watimize lengo lao.
Babu! Mwaka huu nakupa mkwe na mjukuu juu.Naomba umuweke pia mjukuu wangu ephen_ kwenye haya maombi yako. Maana mwaka wa jana alipata wanaume watatu, na wote kawakataa!!
Wa kwanza alikuwa Msukuma, kamkataa! Wa pili alikuwa ni Mgogo, akamkataa! Wa tatu alikuwa ni Mluguru, na yeye naye alimkataa!!
Mambo mchumba huyo ni wewe?Weeeeeye kwann😃
Oya kausha ukiona kaushaaa usipige kelele nyingiSii dp yako inaonyesha pisi kali
Kausha damu yanguAsikuone zerominus10
sawa naomba naye nimuweke kwenye orodha ya wanaume ambao nawatafutia wake sasa nipe sifa anazotaka wanaume wake wawe nazoNaomba umuweke pia mjukuu wangu ephen_ kwenye haya maombi yako. Maana mwaka wa jana alipata wanaume watatu kwa nyakati tofauti, na wote aliwakataa!!
Wa kwanza alikuwa Msukuma, alimkataa! Wa pili alikuwa ni Mgogo, akamkataa! Wa tatu alikuwa ni Mluguru, na yeye pia alimkataa!! Sasa sijui anataka mwanaume wa aina gani!
Nishatulia bloodKausha damu yangu
Mtoto amenyooka km rula ngoja tupite nae hivi unaelewaNishatulia blood