Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

zhang laoshi

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2014
Posts
434
Reaction score
581
Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora kwani nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?

IMG_20241009_155347.jpg
IMG_20241009_155259.jpg
IMG_20241009_155237.jpg
IMG_20241009_155257.jpg
 
Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora..., Kwan nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?
View attachment 3119909View attachment 3119910View attachment 3119911View attachment 3119913
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
 
Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora..., Kwan nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?
View attachment 3119909View attachment 3119910View attachment 3119911View attachment 3119913
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
 
Huenda ukinywa inaongeza nguvu za kiume Dunia Ina mengi sana hii
 
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
Dah! Kidogo moyo umetulia, jitahidi utuletee ufafanuzi ili tuendelee kua na amani.
 
Kama mpaka Leo Kuna watu hawajui matumiz ya oil chafu,itoshe tu kusema elimu bahari
 
Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora..., Kwan nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?
View attachment 3119909View attachment 3119910View attachment 3119911View attachment 3119913
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
Wapi huko ?
Tabata Dampo
Kigamboni
Buza
Temeke
Mbagala
 
Back
Top Bottom