Oil price crushes by 30% at the market open

Oil price crushes by 30% at the market open

B88A55F7-0029-45EB-B403-2CC435AD2109.png

US crude oil stockpiles imeongezeka zaidi ya estimation!
 
Oil down again 20% today. Now @$2180
 
Unachokiona sasahivi kwenye soko la dunia kitakuja kuonekana kwenye bei za mafuta kwa Tanzania mwezi May 2020 sababu EWURA wanatumia M-2
 
Unachokiona sasahivi kwenye soko la dunia kitakuja kuonekana kwenye bei za mafuta kwa Tanzania mwezi May 2020 sababu EWURA wanatumia M-2
 
Unachokiona sasahivi kwenye soko la dunia kitakuja kuonekana kwenye bei za mafuta kwa Tanzania mwezi May 2020 sababu EWURA wanatumia M-2
Hata kama bei itakuwa imeshapanda?
Maana Jana na leo bei imepanda kwa asilimia 30 baada ya Marekani kusema ataingilia mgogoro wa Saudi na Russia ambao ndio ulichangia bei ya oil kushuka.
 
Hata kama bei itakuwa imeshapanda?
Maana Jana na leo bei imepanda kwa asilimia 30 baada ya Marekani kusema ataingilia mgogoro wa Saudi na Russia ambao ndio ulichangia bei ya oil kushuka.
Tulitakiwa tuwe na national fuel reserve.

Huu ni muda wa kununua na kuweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama bei itakuwa imeshapanda?
Maana Jana na leo bei imepanda kwa asilimia 30 baada ya Marekani kusema ataingilia mgogoro wa Saudi na Russia ambao ndio ulichangia bei ya oil kushuka.

Yes hata kama bei itakuwa imepanda sababu ya aina ya mfumo wa upangaji bei wetu inamaana kama mwezi wa nne itapanda basi tambua kwetu mwezi June pia bei zitapanda
 
Back
Top Bottom