HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 996
- 2,267
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo aliesema lockdown ni only option, hata maombi ni option ndugu.Kenyans Wana shida..mbona wao lockdown haijawasaidia?..victims wengi kuliko TZ?
Halafu mbona hata China haikuweka lockdown nchi nzima?
Kulikuwa hakuna lockdown Beijing wala Shanghai..
Ujerumani hawana lockdown wamekufa elfu 4 Tu Hadi sasa wakati UK yenye lockdown zaidi ya elfu 15..
Lockdown sio only option
😁😁😁 duh!
Kenyans Wana shida..mbona wao lockdown haijawasaidia?..victims wengi kuliko TZ?
Halafu mbona hata China haikuweka lockdown nchi nzima?
Kulikuwa hakuna lockdown Beijing wala Shanghai..
Ujerumani hawana lockdown wamekufa elfu 4 Tu Hadi sasa wakati UK yenye lockdown zaidi ya elfu 15..
Lockdown sio only option
Hivi wewe unaishi kwenye shimo au vipi?Kenyans Wana shida..mbona wao lockdown haijawasaidia?..victims wengi kuliko TZ?
Halafu mbona hata China haikuweka lockdown nchi nzima?
Kulikuwa hakuna lockdown Beijing wala Shanghai..
Ujerumani hawana lockdown wamekufa elfu 4 Tu Hadi sasa wakati UK yenye lockdown zaidi ya elfu 15..
Lockdown sio only option
Uliwakagua wanaoomba ukagundua hawana imani? Kama unayo imani pamoja na kujikinga kitaalamu kwanini usiombe pia?Hayupo aliesema lockdown ni only option, hata maombi ni option ndugu.
Lockdown bila a responsible citizenry haiwezi kufanikiwa kamwe, sawa na maombi bila imani ni total waste of valuable time!
So kabla hujapondea pata kuelewa reason behind.
Hivi wewe unaishi kwenye shimo au vipi?
Uliwakagua wanaoomba ukagundua hawana imani? Kama unayo imani pamoja na kujikinga kitaalamu kwanini usiombe pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Paranoia inawasumbua..Hivi wewe unaishi kwenye shimo au vipi?
wakati huo wewe ukiwa kenya.Vibongo bana lockdown si ya kusimamisha ugonjwa ni kupunguza kasi au rate ya maambukizi ili sekta ya ya afya na nchi isilemewe na maambukizi mengi kwa mpigo
Mtatuelewa tuu
Huwa nakuona kama some reasonable Tanzanian lakini hili la corona sijui nini kimekuingia.Paranoia inawasumbua..
Waliokufa Uganda 0
Waliokufa Tz 7 na wote Wana magonjwa mengine...
Mnatazama CNN Sana zinawapa unnecessary panics na paranoia
Aii boss , your level of ignorance hapa is immeasurable, stay safe wacha ubishi,any contact might be positiveParanoia inawasumbua..
Waliokufa Uganda 0
Waliokufa Tz 7 na wote Wana magonjwa mengine...
Mnatazama CNN Sana zinawapa unnecessary panics na paranoia
Uelewa wako utakua na manufaa zaidi kule dampo!Uliwakagua wanaoomba ukagundua hawana imani? Kama unayo imani pamoja na kujikinga kitaalamu kwanini usiombe pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako utakua na manufaa zaidi kule dampo!
Nawajibika kwa kile nilichokiongea sitowajibika na tafsiri yako.
Ndo maana nimekuambia uelewa wako ni wa dampo. Vitu vidogo mpaka ufafanuliwe!Hivyo Mimi nawajibika na umburula wako uandamizi sio?
Acha kupangia watu cha kuamini
Haihusiani na mada we mburula uwe unaelewa.Ndo maana nimekuambia uelewa wako ni wa dampo. Vitu vidogo mpaka ufafanuliwe!
Kwa mfano nikitukana mtu, utakamatwa wewe au mimi? mimi ndo ntawajibishwa.
Mimi nawajibika na kile ntakacho kisema, kama uelewa wako mdogo ukakupelekea kutafsiri tofauti mi ntawajibikaje na hiyo tafsiri yako?