Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Mchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo ili aonekane ana umuhimu, analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
Mkuu unatoka relini. Hapa mada ni okrah. Alafu saido ni bonge la player
 
Mchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo ili aonekane ana umuhimu, analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
lakini umri wake ni mkubwa,atafaa kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona
Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
Mbona wapo wengi TU waangalie wale raia wa america wanaocheza mamelodi ni vimo vifupi na nitegemeo hatari kwenye timu
 
Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
Marcelo Allende wa Mamelodi ni mrefu?
 
Lengo lipi?
Vipi mechi ya marudiano na hao Monastir kwa Mkapa, walipata goli ngapi au Yanga ilienda kukodi mabeki warefu? Au Monastir hawakupata kona hata moja au set pieces yeyote ile?
Kuna vitu vinachekesha sana kama urefu ungekua unacheza Zalan wangekua Mabingwa wa Africa
 
Ndiyo maana nikasema "awe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wake uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi unakuwa siyo ishu". Unadhani naweza kuwakataa wachezaji wafupi bila kuwakumbuka kina Messi, Maradona na wengine wachache kadhaa waliofanya makubwa?
Kipaji cha hali ya juu kama konde boy au sakho sio?
 
Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
Spain ilibeba WC ikiwa na Jordi Alba, Puyol, Iniesta, Xavi, Cazorl, Pedro n.k hawa wote kwa vimo sio wafupi tu, bali wafupi sana.

Futbal ni akili nyingi na sio umbo. Hapo sijaitaja Barca iloburaza ulaya kwa miaka takriban 10 ikiwa na watu wafupi, haikuzidiwa kwenye kufungwa magoli ya set pieces na wala wao wenyewe hawakuwa wanafunga kwa kutumia vichwa.
 
Baada ya kuisaidia Simba , vipi ilifika malengo?

Mimi sijafurahishwa ujio wa kiburushuti Okrah kwenye klabu yangu ya Yanga.

Soka la kisasa linahitaji mchezaji mrefu.

Msimu uliopita US Monastir ya Tunisia ilitufunga bao mbili za haraka haraka kule kwao, na mabao yote ni kwasababu mabeki wetu ni wafupi.
Simba ilipigwa 4 na Kaizer, Al Ahly, AS vita n.k wote hawa walimchapa Simba tano tano, rudi katazame zile mechi, mengi ya magoli hayo yalifungwa kwa vichwa, katazame squad za Simba nyakati hizo kisha nambie hao warefu walikuwa na mchango gani kuzuia zile goli.

Yao Kwasi, Lomalisa ni mabeki wafupi, unaweza ukantajia full backs bora Tanzania kwenye ligi yetu kuwashinda hao?

Italy waliwahi kuwa na beki kisiki, team captain anaitwa Cannavaro, alikuwa ni mfupi mithili ya Shedrack Nsajigwa au ila hakuwa kusumbuliwa na washambuliaji warefu, kubwa zaidi akawa anafunga magoli ya vichwa.
 
Ila huyu mchezaji alikuwa ni hatari sana wakati anasajiliwa simba. Na kwa upande wangu nilikuwa namhofia sana wakati alipocheza kwenye ile michezo ya derby.

Naamini kama taarifa ni ya kweli, basi anaweza kuisaidia Yanga kwa upande wa pembeni. Maana ni aina ile ya viungo washambuliaji wachache wa pembeni wenye ujasiri wa kuwafuata mabeki. Muhimu tu asiwe majeruhi.
Kwa sajili ya Okrah, Okrah wa kiwango kile ambacho tulimuona, Yanga imepata winga, naona mnara mwingine ukisimikwa kwenye derby ijayo 2024.
 
Basi umprove wrong rage kwa lile jina alilowapa,jamaa kadai wachezaji wafupi hawana faida,mimi nimemtolea mfano tu kwa messi mbu3 unakuja na hoja nyingine!kuna sehemu nimeitaja Yanga pale?
Na mimi nmemwambia jamaa Barca ilotamba kwa zaidi ya miaka 10 ilikuwa na wafupi wengi sana ukilinganisha na wapinzani wao.

Kikosi cha kwanza cha Barca miaka hiyo kilikuwa na wafupi hawa.

Bek namba mbili DANI ALVES
Beki namba 3 JORD ALBA
Beki namba 5 CARLES PUYOL
Kiungo mshambuliaji ANDRES INIESTA
Kiungo mchezeshaji XAVI HERNANDEZ
Winga ya kulia PEDRO RODRIGUEZ
Mshambuliaji LIONEL MESSI

Huko nje sub kuna Alexis Sanchez, naye hakuwa mrefu.

Mrefu kwenye first elevwn alikuwa Pique, Sergio Busquets na David Villa.
 
Kipaji cha hali ya juu kama konde boy au sakho sio?
Konde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
 
Kwa sajili ya Okrah, Okrah wa kiwango kile ambacho tulimuona, Yanga imepata winga, naona mnara mwingine ukisimikwa kwenye derby ijayo 2024.
Msimu huko kwao kishafunga goli 9 na assist 2,okrah si mbaya kihivyo
 
Konde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
Okrah makolo mlimnunua kiasi gani?
 
Baada ya kuisaidia Simba , vipi ilifika malengo?

Mimi sijafurahishwa ujio wa kiburushuti Okrah kwenye klabu yangu ya Yanga.

Soka la kisasa linahitaji mchezaji mrefu.

Msimu uliopita US Monastir ya Tunisia ilitufunga bao mbili za haraka haraka kule kwao, na mabao yote ni kwasababu mabeki wetu ni wafupi.

Winga si lazima awe mrefu...

Kazi ya winga ni kushambulia toka pembeni, na kukaba kusaidia pembeni wakati timu isipokuwa na mpira...
 
Na mimi nmemwambia jamaa Barca ilotamba kwa zaidi ya miaka 10 ilikuwa na wafupi wengi sana ukilinganisha na wapinzani wao.

Kikosi cha kwanza cha Barca miaka hiyo kilikuwa na wafupi hawa.

Bek namba mbili DANI ALVES
Beki namba 3 JORD ALBA
Beki namba 5 CARLES PUYOL
Kiungo mshambuliaji ANDRES INIESTA
Kiungo mchezeshaji XAVI HERNANDEZ
Winga ya kulia PEDRO RODRIGUEZ
Mshambuliaji LIONEL MESSI

Huko nje sub kuna Alexis Sanchez, naye hakuwa mrefu.

Mrefu kwenye first elevwn alikuwa Pique, Sergio Busquets na David Villa.
Kwa hiyo quality ya wachezaji wa Barcelona ndiyo mnalinganisha na kina Okrah na Kibabage ambaye hadi juzi tu alikuwa anasugua benchi katika timu ambayo haijaingia makundi kwenye kombe la Afrika toka 1998?
 
Back
Top Bottom