Mkuu kwa kiwango cha Chama, Chama hawezi kwenda kucheza mpira Yanga. Yanga ni timu inayotumia nguvu na kasi ktk uchezaji wake, kitu ambacho Chama hakiwezi kwa namna yoyote ile. Mbaya zaidi nafasi yake kuna mafundi wawili, Azizi Ki na Pacome, ni mwehu tu ndo anayeweza kuthubutu kumpa namba Chama Yanga mbele ya hawa mafundi, hapa kumbuka Maxi hatumzungumzii.
Mashabiki wa Simba embu kuna mda kubalini na kile ambacho watu na taaluma nao wanachokifanya. Si chini ya makocha 3 au 4 wa kigeni wakionesha nia ya kutofurahishwa na uchezaji wa Chama, Chama amekuwa overrated na ninyi mashabiki ila kiuhalisia kwa wabobezi wa Soka wanamuona ni average player.