Okra Magic ameondoka Simba akiwa wa Moto mno. Sema alipigwa Zengwe la Ulevi

Saido umri umeenda, sasa uchawi gani hapo kusema anarogwa? Yaani Boko awaroge wenzie halafu yeye asicheze mpira?
saido kaja juzi tu hilo swala la Bow cow ni la mda mreeefu..

Yeye na T.O pale langoni ndio zao hizo kubqli katqq
 
Mpira kimbiza kimbiza ni wa kizamani. Haukupi uhakika wa matokeo. Ulichezwa sana na waarabu. Ila waalgeria mliwakimbizia wakawabutua 3-0. Al ahly pia mkaponea kwa uwezo binafsi wa pakome tena home. Mbiombio Leo unashinda tano kesho bila bahasha unagongwa. Angalia arsenal na unawachosha wachezaji sana.

Turudi huyo max anafanyaje kimataifa hapo yanga. Mpira unakimbiza kama ni shambulizi la kushitukiza tu.
Rudi kwa chama. Msimu jana tu ndie aliyefunga na kuasist zaidi pale Simba.
Msimu huu ametoa asist ya uhakika sana dhidi ya Al Ahly na ndio aliyeikoa Simba sana. Usijaribu sana kumfananisha pakome na aziz ki na chama. Wako na performance sababu wapinzani hawajawawekea mipango. Sawa na Onana tu. Chama anakuwa na perfomance nzuri kwa misimu 5 mfululizo kimataifa.

Sio makocha hawamtaki ila Viongozi tu.
 
Ilikuaje Morison akaachwa akiwa kwenye kiwango Bora kabisa tena akifunga goal muhim zidi ya marumo gallants? Sometimes washabiki hatujui yaliyondani ya club,niheri kupunguza ujuwaji
 
Wanasemaga eti Bocco ndio anawapiga ndumba wenzie..

Umeniwahi Kaka…
Daaa Jangwani Hakuna Uchawi kaka ni juhudi zako tuu!
Ukisikika kwa wazee yaani wazee wakinusa kuwa kuna Mchezaji anawaloga wenzie amekwisha…
Watani wetu wa Jangwani wako Seriously mnoo na Soka[emoji91][emoji91]
 

Ok,
Kama nakuelewa…
Kama kweli ni Suala ka nidhamu na Sio Kulogwa na wachezaji wenzake Pale Msimbazi basi Hatofanikiwa huko alipoenda.
Ila Kama alikuwa anarogwa asifanyw vema,
Basi atafanikiwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…