Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
saido kaja juzi tu hilo swala la Bow cow ni la mda mreeefu..Saido umri umeenda, sasa uchawi gani hapo kusema anarogwa? Yaani Boko awaroge wenzie halafu yeye asicheze mpira?
Mpira kimbiza kimbiza ni wa kizamani. Haukupi uhakika wa matokeo. Ulichezwa sana na waarabu. Ila waalgeria mliwakimbizia wakawabutua 3-0. Al ahly pia mkaponea kwa uwezo binafsi wa pakome tena home. Mbiombio Leo unashinda tano kesho bila bahasha unagongwa. Angalia arsenal na unawachosha wachezaji sana.Mkuu kwa kiwango cha Chama, Chama hawezi kwenda kucheza mpira Yanga. Yanga ni timu inayotumia nguvu na kasi ktk uchezaji wake, kitu ambacho Chama hakiwezi kwa namna yoyote ile. Mbaya zaidi nafasi yake kuna mafundi wawili, Azizi Ki na Pacome, ni mwehu tu ndo anayeweza kuthubutu kumpa namba Chama Yanga mbele ya hawa mafundi, hapa kumbuka Maxi hatumzungumzii.
Mashabiki wa Simba embu kuna mda kubalini na kile ambacho watu na taaluma nao wanachokifanya. Si chini ya makocha 3 au 4 wa kigeni wakionesha nia ya kutofurahishwa na uchezaji wa Chama, Chama amekuwa overrated na ninyi mashabiki ila kiuhalisia kwa wabobezi wa Soka wanamuona ni average player.
Ilikuaje Morison akaachwa akiwa kwenye kiwango Bora kabisa tena akifunga goal muhim zidi ya marumo gallants? Sometimes washabiki hatujui yaliyondani ya club,niheri kupunguza ujuwajiNje ya uwanja inaweza kuwa hivyo. Ila ndani ya uwanja sikuona kabisa mapungufu yake.
Wakati mwingine kumudu wachezaji kunaitaji management nzuri. Vip nabi Aliamua kumchukua morson kutoka simba Akiwa mkorofi. Na leo kaenda nae MOROCO.
Unaweza ukatumia ubora wake tu na udhaifu wake ukamwachia. Kama una wanasaikolojia wazuri matatizo mengi ya kitabia hutibika.
Wanasemaga eti Bocco ndio anawapiga ndumba wenzie..
Hivi ingetokea Simba wamemrudisha Okrah watu mngetafsiri vipi kitendo hicho?
Failure au success?
Jamaa ni talented ila Ishu kubwa ni nidhamu, msimu kama huu wa Mapinduzi Cup ndio msimu ambao Dejane alitimka.
Na sababu kubwa ilikuwa ni ugomvi kati yake na Okrah ambapo Okrah alikuwa ndiye mkorofi, na Dejane alitaka kuona management inamchukulia hatua.
Lakini alipoona management inataka kumaliza hilo jambo kwa mazungumzo kwa kuwapatanisha ndio hapo Dejane akaona Club haina misimamo bora asepe.
Okrah ana tuhuma za ulevi kupitiliza na akilewa anakuwa mgomvi na hata kama umefuatiia kwenye pages zake hivi karibuni amekuwa akipost wazi wazi akiwa anakula tungi
Okrah alishawahi kumpiga refa, hii level ya utukutu hata Morrison hajawahi kuifikia.
Akirudi Yanga atakutana na Mkude mlevi mwenzie ambaye ndio taita wa viwanja hapa mjini
Naamini Yanga imeona hayo yote na kujua namna ya kuweza kudili naye.
Ila binafsi siamini sana kwenye mabadiliko ya kitabia yatayo mfurahisha kocha pamoja na uongozi, labda kupunguza