Okwi ndani ya Simba

Ila kiukweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu! Huwa mnokoteza wapi tuhabari twa kuja kuwadanganyishia wenzenu humu!? Shida ubongo wenu wote ashachukua Manara, japo hili hajaongea inaonyesha wewe ni nyumbu mkaidi! Ha ha ha

Time will Tell!
 
Mkuu hao wachezaji wa huo umri bongo ni wazinguaji ,unaona kama salamba kapotea hasikiki ,kumleta mchezaji wa umri mdogo na kiwango cha juu toka nje vilabu vya Tanzania hawawezi kutoa hizo hela
 
wazee wamechukia kombe miaka mi3 mfululizo,wazee wamechukua ufungaji bora miaka mi3 mfululizo,wazee wamesababisha kipa bora awe Manura miaka mi3 mfululizo,wazee waliwanyoosha Al Ahl, Nkana na AS Vita. Wazee wa kazi
 
wazee wamechukia kombe miaka mi3 mfululizo,wazee wamechukua ufungaji bora miaka mi3 mfululizo,wazee wamesababisha kipa bora awe Manura miaka mi3 mfululizo,wazee waliwanyoosha Al Ahl, Nkana na AS Vita. Wazee wa kazi
Hao wanaowaita wazee waliwanyatia tukawapiga bao
 
wazee wamechukia kombe miaka mi3 mfululizo,wazee wamechukua ufungaji bora miaka mi3 mfululizo,wazee wamesababisha kipa bora awe Manura miaka mi3 mfululizo,wazee waliwanyoosha Al Ahl, Nkana na AS Vita. Wazee wa kazi
Kwa hiyo unasemaje, ni kweli ndani ya nyumba!? Mana na wewe kwa maboko hujambo! Ha ha ha
 
wazee wamechukia kombe miaka mi3 mfululizo,wazee wamechukua ufungaji bora miaka mi3 mfululizo,wazee wamesababisha kipa bora awe Manura miaka mi3 mfululizo,wazee waliwanyoosha Al Ahl, Nkana na AS Vita. Wazee wa kazi
Wazee walipigwa 5 mfululizo, wazee walirukishwa kichurachura tarehe 8 march na morrison
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…