yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Huyu jamaa nilizani amebadilika pamoja na uhenga wote alionao...bado tu hajaacha kuringa na kujiona ni bora kuliko wachezaji wote Wa simba..Inasemekana hakucheza mechi na Azam coz alichelewa kurudi kutoka kwao kitu ambacho ni kawaida yake
17 PHD these are results
17 PHD these are results