mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Mawenzi mwaka gani mkuu?! Enzi za Mama Mkiramweni amaMy old school [emoji38][emoji38][emoji38]
Mawenzi 3 bweni langu, kazi ya kipuuzi ilikua kusafisha trenches asubuhi.
Ila bata za ushirika na YMCA jumamosi hakika za kukumbukwa[emoji1][emoji1][emoji1]