Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu tena nishtueNguo za kubana tumevaa 1980s mpaka mid 1990s
Safi sanaNapenda old skool bongo flava pia.
II Proud, SosB, Hard Blasters na wengineo niliobahatika kuwasikia.
Katika nyimbo Bora kwangu Kuna:
1. kukuru kakara - Sos B
2. Miko 10 ya rap - Crazy GK & AY
3. Ya Leo Kali - Wachuja Nafaka
4. Ngangari - Gangwe mobb
Na nyingine ila hizo hapo sipiti siku mbili tatu sijasikiliza. Tena nikiwa napiga kazi zinanifurahisha sana.
Hiyo ngangari ya Gangwe Mobb nimeitafuta sana mkuu nimeikosaNapenda old skool bongo flava pia.
II Proud, SosB, Hard Blasters na wengineo niliobahatika kuwasikia.
Katika nyimbo Bora kwangu Kuna:
1. kukuru kakara - Sos B
2. Miko 10 ya rap - Crazy GK & AY
3. Ya Leo Kali - Wachuja Nafaka
4. Ngangari - Gangwe mobb
Na nyingine ila hizo hapo sipiti siku mbili tatu sijasikiliza. Tena nikiwa napiga kazi zinanifurahisha sana.
Mimi nilikuwa nao nikaupoteza na baadhi ya nyimbo zingine. Ila check hii linkHiyo ngangari ya Gangwe Mobb nimeitafuta sana mkuu nimeikosa
Nakubali mkuuAkwelina tulimalize Tatizo.......akwelina mpenzi nakupenda...
Jirushe......ruka....jirushee bit kali aisee..
Nakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe.....picco
Joseline perfume
Parkline nao hawakua nyuma..
Kali p
O-ten nichek.....huu wimbo Kuna jamaa rafk etu tulikua tunamwita O-TEN mzee wa pamba..
Mkiwa Sal B
Mkali wa Rhymes [emoji881][emoji881] wa moro goro
List ni ndefu sana
Dunia Ina mambo mengi sanaa......Hapana inauma uchungu,kamloga mtoto wa mtu kisa kaangua makungu,mzee wa busara uyu uyu ,mzeee wa busaraaaa.nature