Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

Mbona mna-OVERESTIMATE Matarajio namna hii?

Hivi hiyo KCB ilishindwa Nini kufungua matawi ndani ya DRC mpaka isubiri DRC ijiunge EAC? Mbona KCB wana Branches Ethiopia na Malawi ambapo hata sio wanachama wa EAC?

Kuhusu Kujenga Kiwanda Cha Magari ya Umeme!!! MY FOOT Yaani hii hii Kunyaland inayosumbuliwa na Njaa kila mwaka ifungue Kiwanda Cha Magari ya Umeme? Siwezi kuendelea kuongea Chochote.
Haa haaa umekataa wakenya hawaweki kiwanda!
 
Congo DRC imeingia kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki. Imekuja na vitu vifuatavyo:-.

1. Imekuja na Population ya Watu Milioni 92. Idadi hii ya watu itaifanya Jumuiya yetu sasa kuwa na Population ya watu milioni 289. Congo pekee inachangia zaidi ya Robo ya Population yote ya EAC. Inaingiza Asilimia 31% ya population yote...
Tanzania imewekeza kwa kumpokea Kinana kwenye chama
 
Wazo zuri sana, viongozi wetu wanatakiwa kuliona hili na kuwahamasisha wananchi,. Unatakiwa mpango wa kitaifa na sio kuachia kila mwanchi kupambana kivyake.
tumepanga kuupiga mewing kwenye maria space
 
Congo DRC imeingia kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki. Imekuja na vitu vifuatavyo:-.

1. Imekuja na Population ya Watu Milioni 92. Idadi hii ya watu itaifanya Jumuiya yetu sasa kuwa na Population ya watu milioni 289. Congo pekee inachangia zaidi ya Robo ya Population yote ya EAC. Inaingiza Asilimia 31% ya population yote.

2. Congo imekuja na ukubwa wa Eneo KM za Mraba 2,345,000 na kuifanya Jumuiya kuwa na eneo la KM za Mraba 4,809,992. Congo pekee inaingiza asilimia 48% ya Eneo lote la EAC.

3. Imekuja na Deposit ya Madini ya Kutosha mengi kuliko ya nchi yoyote kwenye Jumuiya hii.

4. Imekuja na Ardhi yenye Rutuba ya kutosha na ambayo mvua hunyeesha kwa kiwango kikubwa kabisa.

Mambo makubwa yanayoitesa Congo ni mawili.

1. Haina Bandari hutegemea Mombasa na Daresalam kuingiza mizigo yao Congo.

2. Vita za hapa na Pale za kisiasa zimeathiri sana Shughuli za Kiuchumi DRC.

𝙺𝙴𝙽𝚈𝙰 𝚆𝙰𝙼𝙴𝚂𝙷𝙰𝙲𝙷𝚄𝙽𝙶𝚄𝙻𝙸𝙰 𝙳𝙸𝙻𝙸.

Kwa Africa Mashariki Kenya ni mojawapo ya Taifa ambalo limewekeza kwenye Economic intelligence, tayari kikosi kazi cha Kenya kimeshafika Congo na Kuchambua Fursa zilizopo pale..

Kwenye ripoti yao wameonyesha mambo kadhaa mojawapo ni kwamba imebainika kuwa DRC asilimia 4% tu ya watu wote milion 92 ndio wenye bank account. Bank ya Kenya KCB wameweka mkazo mkubwa sana hapa na tayari wapo Congo kwa ajili ya Mission maalumu. KCB imeambatana na makampuni mengine mawili ya kibiashara ambayo ni Jubilee kampuni la bima na Jambo Net.

Ripoti hiyo pia imeonyesha kuwa Congo inatoa asilimia 70% ya madini yote ya Cobalt Duniani ambayo ndio msingi wa Utengenezaji wa mabetri ya Simu, laptop na kadhalika. Kwa kufahamu hilo tu Kenya wameanza Mpango wa kuja na kiwanda cha Magari yanayotumia Umeme kitakachojengwa DRC.

Ripoti hiyo pia inataja madini ya Copper kuwa Congo pekee inatoa asilimia 50 ya madini yote Duniani hivyo bado wanaendelea kuchakata ni kwa namna gani watatumia fursa hiyo ndani ya East Africa.

Ripoti hiyo pia inataja fursa za mazao ya Misitu, Kilimo, na Ufugaji ambayo Kenya wanazifanyia kazi ya kiuchambuzi zaidi kuona watanufaikaje.

𝙽𝙸𝙽𝙸 𝚃𝙰𝙽𝚉𝙰𝙽𝙸𝙰 𝙸𝙺𝙸𝙵𝙰𝙽𝚈𝙴.

Nimejiuliza sana ila hatupo aggressive sana kwenye mambo ya maana. Mijadala ya Watanzania wengi ni ya mambo rahisi sana kuanzia huku chini hadi juu.

Kwenye East Africa Tanzania ilikuwa giant kwenye mambo mawili. Moja tukikuwa na eneo kubwa kuliko nchi nyingine na tulikuwa na rasilimali nyingi kuliko nchi nyingine.

Nimeangalia Biashara kati ya Congo na Kenya, Uganda, Nikagundua Tanzania bado hatujawekeza sana huko Congo.

Dalili za Congo kuingia EAC zilishaonekana muda Mrefu. Kwa kufahamu hivyo Kenya Rais wake alikwenda Huko mapema mwaka huu kuweka kusaini mikataba kibao. Nitaileta hapa baadaye.

Ole Mushi
071702602

tanzania tunapeleka ccm watu wapate kadi za chama kirahisi zaidi
 
Congo DRC imeingia kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki. Imekuja na vitu vifuatavyo:-.

1. Imekuja na Population ya Watu Milioni 92. Idadi hii ya watu itaifanya Jumuiya yetu sasa kuwa na Population ya watu milioni 289. Congo pekee inachangia zaidi ya Robo ya Population yote ya EAC. Inaingiza Asilimia 31% ya population yote.

2. Congo imekuja na ukubwa wa Eneo KM za Mraba 2,345,000 na kuifanya Jumuiya kuwa na eneo la KM za Mraba 4,809,992. Congo pekee inaingiza asilimia 48% ya Eneo lote la EAC.

3. Imekuja na Deposit ya Madini ya Kutosha mengi kuliko ya nchi yoyote kwenye Jumuiya hii.

4. Imekuja na Ardhi yenye Rutuba ya kutosha na ambayo mvua hunyeesha kwa kiwango kikubwa kabisa.

Mambo makubwa yanayoitesa Congo ni mawili.

1. Haina Bandari hutegemea Mombasa na Daresalam kuingiza mizigo yao Congo.

2. Vita za hapa na Pale za kisiasa zimeathiri sana Shughuli za Kiuchumi DRC.

𝙺𝙴𝙽𝚈𝙰 𝚆𝙰𝙼𝙴𝚂𝙷𝙰𝙲𝙷𝚄𝙽𝙶𝚄𝙻𝙸𝙰 𝙳𝙸𝙻𝙸.

Kwa Africa Mashariki Kenya ni mojawapo ya Taifa ambalo limewekeza kwenye Economic intelligence, tayari kikosi kazi cha Kenya kimeshafika Congo na Kuchambua Fursa zilizopo pale..

Kwenye ripoti yao wameonyesha mambo kadhaa mojawapo ni kwamba imebainika kuwa DRC asilimia 4% tu ya watu wote milion 92 ndio wenye bank account. Bank ya Kenya KCB wameweka mkazo mkubwa sana hapa na tayari wapo Congo kwa ajili ya Mission maalumu. KCB imeambatana na makampuni mengine mawili ya kibiashara ambayo ni Jubilee kampuni la bima na Jambo Net.

Ripoti hiyo pia imeonyesha kuwa Congo inatoa asilimia 70% ya madini yote ya Cobalt Duniani ambayo ndio msingi wa Utengenezaji wa mabetri ya Simu, laptop na kadhalika. Kwa kufahamu hilo tu Kenya wameanza Mpango wa kuja na kiwanda cha Magari yanayotumia Umeme kitakachojengwa DRC.

Ripoti hiyo pia inataja madini ya Copper kuwa Congo pekee inatoa asilimia 50 ya madini yote Duniani hivyo bado wanaendelea kuchakata ni kwa namna gani watatumia fursa hiyo ndani ya East Africa.

Ripoti hiyo pia inataja fursa za mazao ya Misitu, Kilimo, na Ufugaji ambayo Kenya wanazifanyia kazi ya kiuchambuzi zaidi kuona watanufaikaje.

𝙽𝙸𝙽𝙸 𝚃𝙰𝙽𝚉𝙰𝙽𝙸𝙰 𝙸𝙺𝙸𝙵𝙰𝙽𝚈𝙴.

Nimejiuliza sana ila hatupo aggressive sana kwenye mambo ya maana. Mijadala ya Watanzania wengi ni ya mambo rahisi sana kuanzia huku chini hadi juu.

Kwenye East Africa Tanzania ilikuwa giant kwenye mambo mawili. Moja tukikuwa na eneo kubwa kuliko nchi nyingine na tulikuwa na rasilimali nyingi kuliko nchi nyingine.

Nimeangalia Biashara kati ya Congo na Kenya, Uganda, Nikagundua Tanzania bado hatujawekeza sana huko Congo.

Dalili za Congo kuingia EAC zilishaonekana muda Mrefu. Kwa kufahamu hivyo Kenya Rais wake alikwenda Huko mapema mwaka huu kuweka kusaini mikataba kibao. Nitaileta hapa baadaye.

Ole Mushi
071702602
Ndio
 
Mbona mna-OVERESTIMATE Matarajio namna hii?

Hivi hiyo KCB ilishindwa Nini kufungua matawi ndani ya DRC mpaka isubiri DRC ijiunge EAC? Mbona KCB wana Branches Ethiopia na Malawi ambapo hata sio wanachama wa EAC?

Kuhusu Kujenga Kiwanda Cha Magari ya Umeme!!! MY FOOT Yaani hii hii Kunyaland inayosumbuliwa na Njaa kila mwaka ifungue Kiwanda Cha Magari ya Umeme? Siwezi kuendelea kuongea Chochote.
Na huko Congo DRC [emoji1078] kwenyewe kunayo barabara ya kuendeshea hayo magari ya Umeme?

Achilia mbali changamoto ya Umeme wenyewe?

Tukkija kwenye suala la usalama. Wa mwekezaji Congo [emoji1078], bado ni changamoto pia.

Labda Lubumbashi na Kinshasa ndio hilo linawezekana.
Lakini sehemu zingine kama Goma,Kalemie,Kisangani,
Uvira nk bado usalama ni changamoto.

Fursa zipo ila unahitaji Bunduki zaidi kuliko Akili na hapo ujuwe ni unapambana na USA [emoji631], Rwanda [emoji1206].China [emoji630].

Na viongozi wakubwa wakubwa wa serikali yao wenyewe akiwemo Mstaafu Kabila anayemiliki kampuni mojawapo ya ndege.
Kagame anayemiliki mtandao wa simu za mkononi na wanyarwanda wengineo lukuki waliojichimbia kwenye uwekezaji mkubwa ndani ya DRC.
 
Economic intelligence ni muhimu sana kwenye maendeleo ya nchi
Vitendo vinatushitaki, hivi ni economic intelligence inayoshindwa kukuarifu namna bora ya kuendesha sera zako za uchumi na kuishia kujiwekea target la kusanyo la Tril 28.7 kwa mwaka kupitia kubuni tozo tu. Tax base imeishia kwenye kutozana tu?
 
Ufungage domo lako!


7-png.2176316


VS



8-png.2176317
 
..Tz na Drc ni wanachama wa SADC tangu miaka ya 90 au mwanzoni mwa 2000.

..Kwa msingi huo hakuna mabadiliko makubwa yatakayotokea baada ya Drc kujiunga na EAC.

..Kama Watz na Wa-congo hatukuweza kuboresha mahusiano yetu kama wanachama wa SADC sioni kama tutaweza kubadilika baada ya Drc kujiunga na EAC.

Cc Nguruvi3
Kabisa ni porojo as usual, sana sana watakaondelea kufaidi ni wenye malori ya mizigo na viwanda. Hawa walikuwa wanafaidi bila hata huu umoja wa EAC. Hii jumuiya ilikuwa na makubaliano ya kuwa ma sarafu ya pamoja, lakini hadi leo ni hadithi tu. Ni umoja ceremonial zaidi kuliko kunachohubiriwa.
 
sisi vyombo vya habari na magazeti,redio, social media wako busy wanajadili sijui membe, Kinana ,simba wa yuda na pumba zingine.
Hizi mada za msingi kuzingumzia sasa.
Na app.ya mange kimambi,lakini kuelimisha jamii kwa mambo ya msingi sifuri
 
Back
Top Bottom