Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

Ole Mushi: Watanzania tumejipangaje kuipokea Congo kwenye EAC?

Tiss iachane na ccm isaidie watanzania itapendeza lakini kuhusu Vita na migogoro yao hujasema Mana wale watu wa mwituni ushuhuda ni hao wenye akaunt bank
 
Na huko Congo DRC [emoji1078] kwenyewe kunayo barabara ya kuendeshea hayo magari ya Umeme?

Achilia mbali changamoto ya Umeme wenyewe?

Tukkija kwenye suala la usalama. Wa mwekezaji Congo [emoji1078], bado ni changamoto pia.

Labda Lubumbashi na Kinshasa ndio hilo linawezekana.
Lakini sehemu zingine kama Goma,Kalemie,Kisangani,
Uvira nk bado usalama ni changamoto.

Fursa zipo ila unahitaji Bunduki zaidi kuliko Akili na hapo ujuwe ni unapambana na USA [emoji631], Rwanda [emoji1206].China [emoji630].

Na viongozi wakubwa wakubwa wa serikali yao wenyewe akiwemo Mstaafu Kabila anayemiliki kampuni mojawapo ya ndege.
Kagame anayemiliki mtandao wa simu za mkononi na wanyarwanda wengineo lukuki waliojichimbia kwenye uwekezaji mkubwa ndani ya DRC.
Huyu huyu Kagame Magufuri alikuwa anamtumia kuifilisi Tanzania.
 
𝙽𝙸𝙽𝙸 𝚃𝙰𝙽𝚉𝙰𝙽𝙸𝙰 𝙸𝙺𝙸𝙵𝙰𝙽𝚈𝙴.

Nimejiuliza sana ila hatupo aggressive sana kwenye mambo ya maana. Mijadala ya Watanzania wengi ni ya mambo rahisi sana kuanzia huku chini hadi juu.

Kwenye East Africa Tanzania ilikuwa giant kwenye mambo mawili. Moja tukikuwa na eneo kubwa kuliko nchi nyingine na tulikuwa na rasilimali nyingi kuliko nchi nyingine.

Nimeangalia Biashara kati ya Congo na Kenya, Uganda, Nikagundua Tanzania bado hatujawekeza sana huko Congo.

Dalili za Congo kuingia EAC zilishaonekana muda Mrefu. Kwa kufahamu hivyo Kenya Rais wake alikwenda Huko mapema mwaka huu kuweka kusaini mikataba kibao. Nitaileta hapa baadaye.

Ole Mushi
071702602
Hili linachangiwa na Tanzania kupeleka EALA Wabunge wasio na uwezo kusaidia Taifa. Tanzania ndio the most strategic country inayoongoza kwa fursa za EAC na kufaidika na ujio wa DRC ndani ya EAC, mwaka huu ni uchaguzi wa EALA, tusirudie makosa!.
P
 
Back
Top Bottom