Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Hayo maneno kawaambie wenzako Kenya mnaotaka Ngorongoro ife ili Tanzania ife kiutalii na ifaidike nchi yako KenyaWe mpuuzi haya mapato yanakunufaisha na nini? Akina Kigwangala walikuwa wanatumia pesa kwenda kula raha na mademu Ulaya, baada ya miaka 20 hakuna mtu atatoka Ulaya kuja kuangalia fisi watu wanahama huko utalii sasahivi ni wa sayari ya Mars watu wanaenda huko na siyo kuja kuona fisi anakimbiza nyumbu.