Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Watolewe haraka maeneo ya hifadhi, kwani wamasai ni wanyama? Tena serikali itumie nguvu kuwatoa, sbb wamasai wabishi na wagumu sana kuelewa, ila ukitumia viboko na askari wanaelewa haraka sana na watatii sheria, ila kwa kuongea tu, hawatasikia milele.
Wamasai wana kiburi na kujifanya hawasaikii kabisa, watolewe kwa nguvu, ila wapewe muda hata miezi 2 wawe wametoka kwa hiari yao, baada ya siku 60, nguvu na viboko vitumike.
Wamasai wana kiburi na kujifanya hawasaikii kabisa, watolewe kwa nguvu, ila wapewe muda hata miezi 2 wawe wametoka kwa hiari yao, baada ya siku 60, nguvu na viboko vitumike.