Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Mod hii habari ya uongo imekaa muda mrefu sana.Lakin mmeiacha tu.Hamuoni JF itaonekana kama sehemu ya ubabaishaji tu na uong😵ndoa hii
 
Mod hii habari ya uongo imekaa muda mrefu sana.Lakin mmeiacha tu.Hamuoni JF itaonekana kama sehemu ya ubabaishaji tu na uong😵ndoa hii
unadhani kwanini alikamatwa tarehe 25 siku 2 baada ya uzi ? halafu huu uzi uliletwa kama tetesi baada ya nzi mmoja wa kundi la Sabaya kututonya , baada kila kitu kuwa hadharani tetesi ikaondolewa .
 
Kwani uchunguzi ukiendelea dhidi yake anakuwa nyumbani? sio yupo kwenye "mikono salama"
kwa mujibu wa Takukuru amekamatwa siku 2 baada ya uzi huu akiwa na mabaunsa wake , kumbe alikuwa huru tu .
 
I like your name. Wazee wa How to end a figjt in 1-3 minutes
 
Sabaya asikimbie mazao yake alivyopanda ni wakati wa kuvuna
 
Naipongeza serikali kwa kuingia JF na kusoma uzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…