Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 17:5) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Kamata huyo ole mwenye majivuno , dharau alidhani atakuwa kiongozi milele
 
Kupoteza muda tu. Unafikiri atafunguliwa mashtaka au kuhukumiwa? Hiyo ishapita. Atoroke ama asitoroke hana cha kupoteza. Ila wewe unamjua Nani kaibe hata Kuku uone
 
Daah! Mbanga wake haupo sasa anapitia wakati mgumu sana.
 
Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Kwa hiyo kwakuwa kuanzia babu yako baba yako na wajomba zako wote ukiwamo na wewe ni mashoga mliokubuhu unadhani na wengine wapo hivyo? Wewe endelea kukalia vigogo pande za kwa mpalange, waache mabasha waendelee kukusoma jicho nyambafu
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 17:5) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Kitendo cha Yeye Kuchunguzwa tu kwa Amri ya Mheshimiwa Rais ( Amiri Jeshi Mkuu ) tayari Kimedani yuko chini ya Ulinzi na kamwe hawezi Kutotoka nchi kwani hata Wao waliomkamata wanalijua hili kuwa Wazo Mama ( Kuu ) la Ole Sabaya ni Kukimbia ( Kutoroka ) nchi hivyo nao ( Mamlaka ) wameshalidhibiti hili mapema tu.
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 17:5) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Hicho kifungu cha Biblia unaamini kinatuhusu wote hapa JF? Wewe unaamini je, unalazimisha nasi tuamini mambo ya Yeremia?
Tatizo unaamini na kutumaini aadhibiwe, subili utajionea maana ya kumsimamisha ni nini.
 
Hicho kifungu cha Biblia unaamini kinatuhusu wote hapa JF? Wewe unaamini je, unalazimisha nasi tuamini mambo ya Yeremia?
Tatizo unaamini na kutumaini aadhibiwe, subili utajionea maana ya kumsimamisha ni nini.
Siku 2 baada ya uzi huu akadakwa na kuswekwa lupango
 
Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .

Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .

Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 17:5) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Uongo na uzushi tu. Hii inaitwa misinformation kudhuru uchunguzi kuhusu sabaya kumuonesha ni mtu mbaya.
 
Back
Top Bottom