Ole Sabaya asomewa mashtaka mapya 5 ya uhujumu uchumi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha yapewa mamlaka kusikiliza kesi

Wale waliodai huyu mtu atachomoka basi kama kweli atachomoka na kesi zote hizo nitaamini kweli uchawi upo.
Huoni kwamba wamizikusanya zote kwa pamoja ili wazibutue once and for all.....tafakari brother
 
Hizo kesi bila zile za ubakaji na ulawiti kuunganishwa zitakuwa kazi bure
tatizo ni kuwa wale waliokuwa mashahidi wa kubakwa na kulawitiwa waliingia mitini kwahiyo unavyoona hizi mza uhujumu uchumi hazina nguvu?
 
Kwa kweli! Mbona kama tuliambiwa utetezi/ushahidi ulikamilika na tunasubiri hukumu tarehe 1 Oktaba. Imekuwaje tena?
Hiii ni keai nyingine tofauti na ile muwe mnaelewa.. ile inasubiri hukumu hii ni mpya imeanza
 
tatizo ni kuwa wale waliokuwa mashahidi wa kubakwa na kulawitiwa waliingia mitini kwahiyo unavyoona hizi mza uhujumu uchumi hazina nguvu?
Atafakari nini? Ile nyingine inasubiri hujumu hii ndio imeanza huoni tofauti?!
 
Kwa Ccm hilo ni jambo la kawaida. Sifa kuu ya kuwa kiongozi Ccm ni uwe mwizi jambazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…