Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

True thus Mungu kawanyima waafrika mali sababu ya kujitutumua, we check blacks wakiwa na mali fully ushamba sio USA wala afrika check ushamba wa mayweather, tyson, haspup, ginimbi, nk ni nadra Sana kukuta whites wakishambika na mali
 
Kabaki pekee yake aliyemfurahisha yupo kuzimu anapiga push up.
Hii dunia ikanyage taratibu.
 

Attachments

  • VID-20210604-WA0034.mp4
    1.7 MB
Nimesoma maoni mitandaoni na nimeona kuna idadi kubwa ya watu wakishangilia na kushabikia ama kutamani wafungwa wambake jamaa. Kwa maoni yangu huu ni ukatili na unyama. Siyo poa kuombea mwenzako apate mateso, sembuse abakwe? Hapana ndungu zangu. Tuwe na utu na tujitengenezee fikra za upendo zaidi ya chuki kwa bidamu wenzetu hata kama wao waliishi kama mashetani.
 
Naomba tu MUNGU asaidie kwenye hili kusiwe na chenga chenga,wala bla bla Ole Sabaya afungwe miaka isiyopungua 30. Akae mahabusu kwanza miaka 8,halafu ndio waje msomee hukumu miaka 30
 
Yeye aliwapa watu wangapi mateso? amewaachia watu wangapi makovu? Wacha avune alichopanda
 
sheria haitambui hivyo. its ethier ww ni muhalifu na unastahili adhabu or not. hakuna neutral ground
Nakubali. Aadhibiwe. Nilichokuwa napinga ni watu kushabikia na kumuombea abakwe. Siyo poa kutamani mtu abakwe au afanyiwe vitendo vya kikatili. Kibinadamu hata mimi huwa napata mawazo maovu mengi tu ila natambua kuwa siyo poa na najitahidi kuachana nayo.
 
Mmmmmh!! 😳 ngoja tunywe mtori tu NYAMA ZIPO CHINI 🚶🚶
 
Mkuu ukifanya kosa Arusha utasomewa ulipofanya kosa mbona hii ni basic za sheria...
 
huyu JAMBAZI aliyekuwa analindwa na MWENDAZAKE leo ni kesi yake hapo ARUSHA, tunasubiri mafaili yake ya MOSHI na Arusha mjini, yapo kwa HAMDUNI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…