The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Nataka mida ya saa 6 nitulie nimsikilize mana nimeiskia kwa wengiHotuba ya Tundu Lissu Leo Pemba ni hotuba ya Kihistoria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka mida ya saa 6 nitulie nimsikilize mana nimeiskia kwa wengiHotuba ya Tundu Lissu Leo Pemba ni hotuba ya Kihistoria
Wananchi wa wapi wamejitokeza kwa wingi? Wananchi wa kusombwa na fuso kwenda kusikiliza mziki wa bongo fleva?Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao
Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.
Mtukufu magufuli na ndugu zako wameshindwa mbowe oyeeMbowe na ndugu zako wameshindwa Magufuli oyee
DC sabaya mwisho wake utakuja kuwa mbaya mno maana anajiona kama atakuwa DC mpaka 2080Shekhe Ponda amelaani vikali Vikundi vya kihalifu vinavyolipwa na Ole Sabaya kwa fedha za Vitambulisho vya Wamachinga
Wanafikiri hizi ni zama za 80s wanaweza kuambulia kupigwa kiberitiDC sabaya mwisho wake utakuja kuwa mbaya mno maana anajiona kama atakuwa DC mpaka 2080
Kitu kilichofanya nimvulie kofia Tundu Antipas Lissu ni kwamba alikuwa hasomi popote Lissu ni KichwaNataka mida ya saa 6 nitulie nimsikilize mana nimeiskia kwa wengi
Tatizo la ajira na ukosefu wa akili ndo changamoto kuu kwa watanzania sasaivi
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru upya baada ya Nchi kuwa imeuzwa mwaka 1998 , kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato na Huyo chakubanga Sabaya anaenda kuchunga ng’ombe na kuvuta BangiWanafikiri hizi ni zama za 80s wanaweza kuambulia kupigwa kiberiti
Lisu ni mbumbumbu!Kitu kilichofanya nimvulie kofia Tundu Antipas Lissu ni kwamba alikuwa hasomi popote Lissu ni Kichwa
Bado siku tano tu mkuu tujue nani mkweli.Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru upya baada ya Nchi kuwa imeuzwa mwaka 1998 , kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato na Huyo chakubanga Sabaya anaenda kuchunga ng’ombe na kuvuta Bangi
Ukishishajua ana hope a boss kumfurahisha ni rahisi.Kijana mdogo Ole Sabaya anahangaikia tumbo kwa gharama kubwa sana.Huo uhalifu anaoufanya malipo ni mapema sana kabla uzee haujamkuta.
Atajuta!!
Tupo ubeligijiUshoga?
Afu mwisho wa siku mbowe anashinda,sijui sura ataiweka wapiBaada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao
Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.
Kwa wajinga tu!Hotuba ya Tundu Lissu Leo Pemba ni hotuba ya Kihistoria
Mrundi humjui??? Yupo kwenye kampeni kanda ya kaskazini 😂😂😂Wewe unajikuta huna ukosefu wa akili ni mrundi au mzambia!?? 😁😁😁😁
Inawezekana wewe unatumia akili za kukopa kupost hapa ila shida ni kwambakwamba aliyekukopesha kakupimia kidogo sana
Afu mwisho wa siku mbowe anashinda,sijui sura ataiweka wapi