Uchaguzi 2020 Ole Sabaya awaongoza Wananchi wa Hai kumsindikiza Magufuli kwa Mbio

Uchaguzi 2020 Ole Sabaya awaongoza Wananchi wa Hai kumsindikiza Magufuli kwa Mbio

Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao

Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.



Hawa ndio uvccm wanaoamini katika kutesa, kutweza, kubambikia nakila aina ya uovu ili wapate uteuzi.

Hili jambo la kufanya uteuzi kwa hawa Vijana baada ya kuonekana kwa kutenda uovu ndio umetufikisha hapa tulipo

Mamlaka za uteuzi ziache kabisa kuwapa uteuzi
-waovu,
-watovu wa nidhamu,
-wasio na maadili nk
 
Mamlaka za uteuzi ziache kabisa kuwapa uteuzi
-waovu,
-watovu wa nidhamu,
-wasio na maadili nk
Tatizo huwa wanapewa kama fadhila kwa kazi za kiharamia ambazo huwa wametumwa kuzitekeleza
 
Niaka salasini,,, akitoka amekuwa Shoga mbobezi.
 
Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao

Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.


Na hapo sijui alikuwa na pistol?
 
Baada ya Mkutano Mkubwa ukiofanyika BOMANG'OMBE Jimboni Hai Wananchi wameamua kuusindikiza msafara wa Rais Magufuli kwa kukimbia Mbio ili kuonesha mapenzi yao kwake na ccm . Video inamuonesha Dc Ole Sabaya akiongoza Wananchi hao

Pamoja na Upinzani kupeleka viongozi wote Jimboni Hai lakini wamegonga Mwamba maana Wananchi wamejitokeza kwa wingi leo WAKIWA wamebeba majani aina ya masare kuonesha kuomba Radhi kwa kumchagua Mbowe ambae amekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Hai.


Co-accussed (Holding PAPERS/DOCUMENTS). Seems he was soo Loyal to OS.
 
Tatizo huwa wanapewa kama fadhila kwa kazi za kiharamia ambazo huwa wametumwa kuzitekeleza

Nahapa ndipo ccm imeharibu kabisa misingi ya utawala bora.

Kutoa madaraka na vyeo kama fadhila kwa wahalifu waliostahili kuwa jela

Matokeo yake, kila uvccm anataka kupitia njia hizohizo ovu na za kishetani
 
Shekhe Ponda amelaani vikali Vikundi vya kihalifu vinavyolipwa na Ole Sabaya kwa fedha za Vitambulisho vya Wamachinga
Shekhe Ponda aliona mbali , M/Mungu akubariki sana Shekhe wangu.
na muda ni mwalimu mzuri sana.
Leo hii Sabaya anasema yote aliyoyafanya kwa maagizo ya Magufuli halafu Samia anamfunga..

CCM = Chama Cha MAGAIDI
 
It ended in premiun tears.
images (89).jpeg
 
Back
Top Bottom