Uchaguzi 2020 Ole Sabaya awaongoza Wananchi wa Hai kumsindikiza Magufuli kwa Mbio

Wananchi wa wapi wamejitokeza kwa wingi? Wananchi wa kusombwa na fuso kwenda kusikiliza mziki wa bongo fleva?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuanzia mwezi novemba hali itakuwa ngumu sana kwa wana bavicha
 
Tatizo la ajira na ukosefu wa akili ndo changamoto kuu kwa watanzania sasaivi

Wewe unajikuta huna ukosefu wa akili ni mrundi au mzambia!?? 😁😁😁😁

Inawezekana wewe unatumia akili za kukopa kupost hapa ila shida ni kwambakwamba aliyekukopesha kakupimia kidogo sana
 
Wanafikiri hizi ni zama za 80s wanaweza kuambulia kupigwa kiberiti
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru upya baada ya Nchi kuwa imeuzwa mwaka 1998 , kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato na Huyo chakubanga Sabaya anaenda kuchunga ng’ombe na kuvuta Bangi
 
Kitu kilichofanya nimvulie kofia Tundu Antipas Lissu ni kwamba alikuwa hasomi popote Lissu ni Kichwa
Lisu ni mbumbumbu!

Kwa mwenye akili anaona kabisa huyu jamaa hajielewi anataka nini?

Huwezi kuwa unataka urais wa tanzania na huku ukienda Zanzibar una hamasisha kuvunja muungano.

Sasa lisu alivyo mbumbumbu hajui kama hapo kamwe hakuna chombo chochote cha usalama kitakuunga mkono.
 
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru upya baada ya Nchi kuwa imeuzwa mwaka 1998 , kaburu Mkoloni mweusi atarejea chato na Huyo chakubanga Sabaya anaenda kuchunga ng’ombe na kuvuta Bangi
Bado siku tano tu mkuu tujue nani mkweli.
 
Afu mwisho wa siku mbowe anashinda,sijui sura ataiweka wapi
 
Masare au masale. Wachaga tusaidieni hilii maana jamaa anaonekana kakaririshwa uzi alaf kakosea kuandika
 
Wewe unajikuta huna ukosefu wa akili ni mrundi au mzambia!?? 😁😁😁😁

Inawezekana wewe unatumia akili za kukopa kupost hapa ila shida ni kwambakwamba aliyekukopesha kakupimia kidogo sana
Mrundi humjui??? Yupo kwenye kampeni kanda ya kaskazini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…