Ile zama ilikuwa hatari sanaAliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Jiwe aliwatia watu wake kiburi sana.Tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba.Mwaka Jana Kama leo Jiwe lilikuwa Jiwe kweli kweli na Sabaya alikuwa jeuri na mbabe kwelikweli.
Na ndio maana vidole vimeanza kumuelekea.
Haya ni maandaliao ya hukumu ya mtu flan mashabik wanashangiliaHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Bado yule aliyekuwaga rais wa Dar
Tena kwenye kujitetea kasema kabisa hiyo kazi ya ujambazi alitumwa na mamlaka yake ya uteuzi. Mkuu wa wilaya anateuliwa na Rais... Magu alimteua Sabaya...Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Mpaka mwaka unaisha Bavicha wwtakuwa wanajadili tu ishu ya sabaya
Hata mtoto Mdogo ana kushangaavipi kuhusu Gaidi Mbowe ambaye kwa muda mrefu amekitumia chama kama kichaka cha kutekeleza uhalifu, ugaidi, ujambazi wa kuvuruga amani ya Nchi na hata mipango ya kuuwa viongozi?!
kwa muda wote huo alipo kuwa mwenyekiti wa chama, je, unajua katengeneza wahalifu wangapi?
Mbowe anaweza kuwa mtu hatari sana kwa Nchi huenda kuliko hata huyo sabaya.
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria, na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Mwambie arejee kesi ya Zombe...Haita msaidia kwakuwa yeye mwenyewe amekiri kutenda makosa akidai kwa maagizo kutoka juu. Aliyetenda makosa ni yeye hivyo amehukumiwa kwa matendo yake. Waliomtuma (kama ni kweli na hapa lazima awe na ushahidi wa maandishi) hawahusiki na uovu alioufanya na ndiyo maana hawakuitwa mahakamani
Subiri kwanza hukumu yake kama hii ya Sabaya. Kama kweli ana hatia na ikathibitika naye aipate adhabu yakeMbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Unatetea udhalimu wa jiweMleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi
Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu
Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Mkuu kuliko alimlinda kwa makusudi. Kwani hakujuaMleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi
Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu
Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Mbowe anajadliwa na wana bavicha wenyewe!Mataga watakuwa wanajadili ishu ya Mbowe
Mleta mada kaongelea hukumu ambayo ishatolewa ,wewe unaleta porojo zako za Mbowe ambazo bado mahakama haijamtia mtu hatiani.Hivi wewe kweli akili zinafanya kazi vizuri au ndoo bilula wa JF?Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Kama yule mpuuzi wa singida mvaa mabenderaAliyekwenda angekuwepo leo hii Sabaya angekuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro/DSM/Dodoma/Arusha, na kila siku angekuwa anamwagiwa masifa kuwa ni mchapakazi na mzalendo!! Hawa watu wanaopenda kujiita wazalendo wa kuogopa sana
Tunapochagua viongozi wa nchi hatuchagui majambazi!Ukisoma maandishi yako unaona kabisa kuna element za frustrations zako kwenye mambo mengine, na issue ya Sabaya imekuwa ndio breathing vent 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kweli kazi na iendeleee
Kwani hayo makosa alipoyafanya, si alikuwa ni DC?ni kelele ngapi zilikuwa zikipigwa juu yake tena kwa ushahidi hadi wa cctv camera, je mamlaka ya uteuzi ilifanya nini juu ya tuhuma zile?zaidi ya kuwabeza watoa tuhuma?kwenye utawala bora angetakiwa awekwe pembeni apishe uchunguzi wa tuhuma dhidi yake!!kwani hao uliowataja hapo hawakuwa wakiyaona?lakini walijua kabisa kuna baraka za jiwe!Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi
Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu
Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Na bado Jiwe lingekuwepo , hakuna ambaye angethubutu kupereka kesi dhidi DC au RC yeyote muonevu . Walikuepo wengi eti sasa wamenywea kama wema vile !!. Mwz kulikuwa na moja mbaya kuliko Sabaya, ila hulka ya watu wa huko ya upole na kutokuhoji imemuokoa. Eti sasa ni mtu mwema !!Mkuu bado doa jeusi limetanda kwa utawala wa Magufuli.
Aliruhusu vipi wananchi waporwe kwa mtutu wa DC?
Vyombo vya kulinda haki za raia mbona vikawa paralysed?
Wapuuzi mko wengi sana TanganyikaMbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.