Ole Sabaya: Doa jeusi kwa utawala wa Hayati Magufuli

Ole Sabaya: Doa jeusi kwa utawala wa Hayati Magufuli

Tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba. Mwaka Jana Kama leo Jiwe lilikuwa Jiwe kweli kweli na Sabaya alikuwa jeuri na mbabe kwelikweli.
Nakumbuka aliorganize wavuta bhange wapige mawe msafara wa lisu.
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.

Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!

Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Hii kesi huwa unaifuatilia na aina ya ushahidi unaotolewa? Nakushauri uwe unafuatilia acha kusimuliwa.
 
Yaani mpaka Ras Mtimanyongo akwambie,Magufuli alishachafuka siku nyingi.

Fikiria mtu anaiba kura,anawanyima haki waTanzania ya kuchagua huyu ni hovyo wa viwango vyote unavyojua.
Ni vyema chama tawala ikawa na utarstibu wa kum censure a sitting president ambaye anakwenda kinyuma cha matarajio ya chama na wananchi.
 
Ni vyema chama tawala ikawa na utarstibu wa kum censure a sitting president ambaye anakwenda kinyuma cha matarajio ya chama na wananchi.
CCM nayo imeumbuka kwa tukio hili.
Hatuwezi kuwa na Mwenyekiti anayeendesha vitendo vya kiharamu dhidi ya wananchi wake.
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Haki imetendeka mkuu
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Mdomo koma usije kiponza kichwa. Sema tujiandae kisaikolojia kesi ya Mzee wa Bapa
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.

Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!

Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Iyo amani ya nchi unaijua wewe peke yako?

Hamna uwezo wa kunfunga mbowe mtamuachia mtake mistake.

Ati mkamataji, mpelelezi,mfungua kesi, shahidi nihuyohuyo.

Hata wewe unaijua hiyo lkni kwa vile akili zako zimeshikwa sikulaumu.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Hukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.

Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.

Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.

Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".

Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Ni pamoja na utawala huu uliopo sasa kwani watawala ni walewale waliobadilishana nafasi tuu. Na zaidi CCM ndiyo wenye dhamana ya watawala Hawa. CCM lazima wajitafakari sana
 
Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.

JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.

JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangi😡
....noma sana.
 
Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi

Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu

Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Lakini hao hao wateule wa nduli Jiwe wote walikuwa hawamkubali labda mpango tu.
 
Rufaa atachomokaje na ameshakiri aliyoyafanya.. kwamba ni amri kutoka juu, j kuna kifungu cha kuhalisha uovu kwa kigezonhicho?
Wamesema kulikuwa na mapungufu na kifungo ni kikubwa sana.

Hii ni maelezo yao si yangu
 
Ni pamoja na utawala huu uliopo sasa kwani watawala ni walewale waliobadilishana nafasi tuu. Na zaidi CCM ndiyo wenye dhamana ya watawala Hawa. CCM lazima wajitafakari sana
Ni kweli mkuu.
Hili tukio la Sabaya ni failure of the checks and balance within the State.

As a democracy we stooped too low!

CCM ilifeli kucheck excesses za Mwenyekiti wake, si vizuri hili likajirudia in future.
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.

Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!

Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Jifariji
 
Back
Top Bottom