johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bwashee unaheshimika ujue!Yaani kama mtu anaenda toilet kuachia kimba afu hajitawazi.???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee unaheshimika ujue!Yaani kama mtu anaenda toilet kuachia kimba afu hajitawazi.???
Nakumbuka aliorganize wavuta bhange wapige mawe msafara wa lisu.Tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba. Mwaka Jana Kama leo Jiwe lilikuwa Jiwe kweli kweli na Sabaya alikuwa jeuri na mbabe kwelikweli.
Alijua hakimu ataogopa!!!Na ndilo kosa kubwa alilofanya. Kukiri kuwa alitenda kwa maagizo. Kisheria amehukimiwa kwa matendo yake siyo kwa maelekezo toka juu.
Kabisa ... namkumbuka mwandishi mmoja bwana mbwambo hapo 2015 aliandika hivi kweli yametokeaYule Mbwiga hakutakiwa kuwa Raisi wa Tanzania Nchi ya Amani na Upendo.
Alikuwa diktetaMagufuli.
Hii kesi huwa unaifuatilia na aina ya ushahidi unaotolewa? Nakushauri uwe unafuatilia acha kusimuliwa.Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.
Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Rufaa si kushindaBado ameomba kukata rufaa atajisafisha tu.
Hapa kazi tu.
Ni vyema chama tawala ikawa na utarstibu wa kum censure a sitting president ambaye anakwenda kinyuma cha matarajio ya chama na wananchi.Yaani mpaka Ras Mtimanyongo akwambie,Magufuli alishachafuka siku nyingi.
Fikiria mtu anaiba kura,anawanyima haki waTanzania ya kuchagua huyu ni hovyo wa viwango vyote unavyojua.
CCM nayo imeumbuka kwa tukio hili.Ni vyema chama tawala ikawa na utarstibu wa kum censure a sitting president ambaye anakwenda kinyuma cha matarajio ya chama na wananchi.
Haki imetendeka mkuuHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Mdomo koma usije kiponza kichwa. Sema tujiandae kisaikolojia kesi ya Mzee wa BapaHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
Iyo amani ya nchi unaijua wewe peke yako?Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.
Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Ni pamoja na utawala huu uliopo sasa kwani watawala ni walewale waliobadilishana nafasi tuu. Na zaidi CCM ndiyo wenye dhamana ya watawala Hawa. CCM lazima wajitafakari sanaHukumu iliyotolewa jana kwa Ole Sabaya, kuwa alikuwa jambazi la kutumia silaha kupora mali za wananchi, vile vile limeupaka matope utawala wa Magufuli.
Kwamba mteule wa Rais, akafanya mambo kinyume na utawala wa sheria na mbaya zaidi ujambazi, ni vigumu kueleweka kirahisi kwa nini haya yaliruhusiwa kutokea.
Utawala wa Magufuli mara kadhaa umelaumiwa kutoheshimu haki za binadamu na mali zao, huu mfano wa Sabaya umejitokeza kukubaliana na hoja hizo.
Kwamba kulikuwepo na wasiojulikana, watu kutekwa na baadaye aidha kupotea au kurudishwa na wasiongee yaliyowasibu, hili la Sabaya linathibitisha uhusika wa viongozi fulani, ndani ya Dola, wakiwa na baraka " kutoka juu".
Kwa vyovyote vile Ole Sabaya ni doa jeusi na ambalo si zuri kwa utawala wa Magufuli.
....noma sana.Legacy ya JPM haiwezi kamwe kufutika na chuki hizi zinazoendelee.
JPM anabaki kuwa Rais shupavu na hodari tangu Tanzania ipate uhuru akiongozwa na Baba wa Taifa akifatiwa na Mzee Mkapa.
JPM anaishi na ataendelea kuishi huyo ras wenu mwambieni akanyoe rasta aache na kuvuta bangi😡
Lakini hao hao wateule wa nduli Jiwe wote walikuwa hawamkubali labda mpango tu.Mleta mada usisahau kuwa 90% ya top Govt Officials wa sasa ni wateule wa our beloved The Late Magufuli kuanzia Rais Mamá Samia, Dr Mpango, PM Majaliwa, Jaji Mkuu Prof Ibrahim, DG Tiss, CDF, IGP na wengine wengi
Maamuzi ya kesi ya Sabaya isiihusianishe na mkuu wa Serikali iliyopita ilhali watendaji wakuu wengi kama nilivyowataja wenye influence bado ni wale wale toka awamu iliyopita na ni wenye kiwango kizuri cha kukubalika kwa maana ya utendaji wao ktk nchi yetu
Kama Sabaya alifanya makosa basi acha hukumu imuhusu yeye kama yeye
Sijakataa ila mimi nasema kilicho semwa kuwa wanataka rufaaUnajitoa ufahamu sio,kakiri mwenyewe alikuwa anafanya ujambazi kutokana na maagizo kutoka juu,weka ushahidi hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesema kulikuwa na mapungufu na kifungo ni kikubwa sana.Rufaa atachomokaje na ameshakiri aliyoyafanya.. kwamba ni amri kutoka juu, j kuna kifungu cha kuhalisha uovu kwa kigezonhicho?
Nani? Kasema kuna upungufuWamesema kulikuwa na mapungufu na kifungo ni kikubwa sana.
Hii ni maelezo yao si yangu
Ni kweli mkuu.Ni pamoja na utawala huu uliopo sasa kwani watawala ni walewale waliobadilishana nafasi tuu. Na zaidi CCM ndiyo wenye dhamana ya watawala Hawa. CCM lazima wajitafakari sana
JifarijiMbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi. Sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! Ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi.
Yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya Mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayotufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.