pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hili tutusa limesahau lipo nje kwa dhamana!
Limesahau lilikuwa huni na lijambawazi!
Limesahau lilikuwa huni na lijambawazi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeye mwenyewe alikuwa jambazi tena hatari kabisa!Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kheeee...!!! Kwamba mbunge anaweza akamzidi mkuu wa wilaya..!!Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.
Nenda kajaribu kama unauwezoHivi bado hajauwawa tu. Huyo ni wa kumuua maana alichokifanya akiwa dc ni ufedhuri.
Yaani sabaya bado yuko hai?
Subiri toto tundu kupokea uteuzi maana ofisi ya uteuzi kwa sasa inatimiza ule msemo wa ' nguruwe aliyeyeoshwa amerudi kugagaa kwenye matope'Kwa Mujibu wa maelezo yaliyotelewa leo na DC wa Hai, Sabaya, 360 Clouds, hakika eneo hilo uwajibikaji ulikuwa duni sana .
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
Kwa maelezo yake ni kama ilikuwa zone fulani ya gangstar.
Kwakuwa hili kalisema hadharani mchana kweupee kwenye media ambayo inatazamwa na kusikilizwa na Watanzania wengi ,ajitokeze Mtanzania hadharani apingane nae kwa takwimu, maana bila kukanushwa madai yake ni dhahiri aliyekuwa mbunge anawajibika kwa lawama na uhalibifu wote uliotokea kwa jamii na serikali kwa ujumla, sababu mbunge ni sauti ya wananchi.