Ole Sabaya: Hai iliendeshwa kihuni sana, mimi nimekuwa mwarobaini

Hili tutusa limesahau lipo nje kwa dhamana!
Limesahau lilikuwa huni na lijambawazi!
 
Takwimu zinaonyesha ujambazi ulikithiri, mihadarati, wananchi wanyonge kuporwa mashamba, makusanyo hafifu ya kodi, uhaba wa vituo vya afya, miundombinu chakavu na mengine mengi ya hovyo.
yeye mwenyewe alikuwa jambazi tena hatari kabisa!
Alikuwa na kundi la uporaji kabisa tena hadharani!
 
Kheeee...!!! Kwamba mbunge anaweza akamzidi mkuu wa wilaya..!!
Hivi aliyeenda kufyeka mashamba ya Mbowe alikuwa mbunge wa Hai?
 
Hivi bado hajauwawa tu. Huyo ni wa kumuua maana alichokifanya akiwa dc ni ufedhuri.

Yaani sabaya bado yuko hai?
 
Subiri toto tundu kupokea uteuzi maana ofisi ya uteuzi kwa sasa inatimiza ule msemo wa ' nguruwe aliyeyeoshwa amerudi kugagaa kwenye matope'
Bosi wako wa kikosi kazi cha uporaji sasa hivi ni mNEC .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…