Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Kila siku mahakimu kama hawa wanaumbuka High Court.
Ni uwendawazimu kufanya jambo kwa dhamira eti ya kumwua mtu. Kama anadhani ana haki ambayo haikuzingatiwa, akate rufaa kwa dhamira ya kuitafuta haki yake.

Akikata rufaa kwa dhamira ya kumwumbua hakimu, ataishia kuumbuka yeye kama ulivyoumbuka wewe uliyekuwa kila siku unapiga porojo za kumtetea mtu mwovu hapa JF.

Sabaya ni mtu mwovu, jambazi, mtesaji na muuaji. Asubiria kesi nyingine ambazo zitazidi kumpa makazi yake ya kudumu gerezani. Hili jitu ni shetani. Mtu mwenye Roho wa Mungu, kamwe hawezi kuwapigilia misumari miguuni binafamu wenzake au kuwakata masikio, kama hili jambazi lilivyokuwa likiwafanyia watu.

Uraiani ni kwa watu wema hata kama siyo watakatifu, jambazi kama Sabaya, mahali pake sahihi ni gerezani,
 
Basi hapo mwenyewe umejiona nooooooooooooma
 
Kiburi chake hapa kwenye silaha, kilichangia kummaliza. Alijiona akisema aliingia na silaha "kwake" siyo shida. Amekua akiingia mahakamani akiwa bado ana ile "image ya mtoto wa baba"
 
Hili jambazi lilistahili na lenyewr kupigiliwa misumari kama lilivyowatendea wengine.

Na bado kuna kesi nyingine nyingi zitakuja. Hili kwa kushirikiana na akina Kingai ndio waliomwua Lijenje.
 
Hao wahanga walitoa ushahidi juu ya hii kesi? Relevant facts...
Wanakuja kwenye kesi nyingine. Kwani kesi za Sabaya zimeisha? Sabaya siyo binadamu, ni shatani katika umbile la mwanadamu.
 
Mabwanyenye wa kimachame waliyopanga kulipa kisasa kwa mwanamapinduzi sabaya kwa kazi ya kizalendo kwa taifa wajitayarishe kukosa hii raha wanaona saa hizi. Kwenye rufaa bila shaka ndio haki itatendeka.
Mjane unaweweseka.
 
Kitendo tu cha kuwa na silaha wakati unataka kupora tayari ni ujambazi wa kutumia silaha. Sabaya kama kiongozi (DC) angeenda pale na polisi wakiwa na silaha ingeeleweka. Lakini yeye kwenda pale na watu wengine ambao si askari na kumlazimisha mtu kutoa fedha tayari status ya tukio inabadilika.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
High Court anachomoka zote. Wakati utaprove.
Kama mahakama kuu kuna wanafiki kama wewe, basi msubirie. Anza maandalizi ya sherehe ya kumpokea.

Unahangaika na nini wakati una uhakika wa kuungana na mpendwa wako ili muendeleze unyama wenu? Tulia umsubirie, halafu uje uwalingishie JF ukiwatumia picha ya pamoja ya sherehe ya kumpokea.
 
Kumbuka kuwa kesho akiwa ndani ya vazi jipya la rangi ya njano atakuwa mahakamani kukabili shtaka lingine la uhujumu uchumi.
 
Kiburi chake hapa kwenye silaha, kilichangia kummaliza. Alijiona akisema akiingia na silaha "kwake" siyo shida. Amekua akiingia mahakamani akiwa bado ana ile "image ya mtoto wa baba"
Hakujua mahakama sio kanisani au msikitini ukiiambia ukweli itakusamehe, pale ukisema kweli hakimu anachofanya ni kuangalia sheria inasemaje kuhusu kosa husika na adhabu yake ni ipi, then anakutwanga miaka yako ananyanyuka anaondoka.
 
Siku hizi mahakama hazipokei amri kutoka juu sasa upande wa pili hukumu ikitoka msije .kasema hiyo ni amri kutoka juu mahakama ziko huru sasahivi

Vipi una tatizo la uelewa? Hoja ni hukumu dhidi ya jambazi Sabaya
 
Bongo bana,hujui hata kuandika lkn unakosoa mahakimu walosomea!!! Ujinga wako bakinao mwenyewe jombaa...
 
High Court anachomoka zote. Wakati utaprove.
Mkuu una imani sana. Hongera..... Kwa nini huwezi kuona madudu ya Sabaya? Hayo ni ya Arusha tu, kuna ya Moshi/Hai, huyu mtu hafai kutetewa ndugu. Kuna ambao hawajaamua tu kuyafikisha mahakamani.

Kuna issue ya kuvamia Hotel ya Weruweru River Lodge ya Asante Tours inayomilikiwa na Cathbert Swai, kuna ushahidi wa CCTV cameras, hii haijafika mahakamani bado. Ni tukio la aibu. Mkuu, moyo wa kujaribu kumuona Sabaya ni msafi unatoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…