Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

Ole Sabaya hata kama alikuwa na hatia lakini sio ya unyag'anyi wa kutumia silaha. Hakimu aliyehukumu hana weledi

hakuna kesi hapo,rufaa , baadae atapewa alipe faini then mq8sha yanaendelea.kama mtu alikuwa na silaha na anaimiliki kisheria ,lkn hakimu kakiri hakuna mahali silaha hiyo ilipotumika au kutishia,inshu iliyobaki ni kesi ya kutumia madaraka v8baya labda iwe ndo kesi yake!. anyway ngoja tusubili mziki wa gaidi utakuwaje maana ile imekaa vibaya sana.
 
Hakimu hajafanya kazi kwa kukariri. amefanya kazi kwa kuzingatia gap zilizokuwepo kwenye ushahidi wa Sabaya na tafsiri yake kisheria.

Kitendo cha Sabaya kukiri kumiliki silaha, hata kama ni kwa ulinzi wake binafsi, na kuwa nayo siku ya tukio alipoingia ofisini kwa watu bila kibali kinachotambulika kisheria, hapa ndipo alipoharibu. Mahakama ilitafsiri hili amefanya uvamizi wa kutumia silaha.

Kwasababu unapoingia ofisini kwa mtu na silaha, hata kama huja point kwa muhusika, lakini psychologically unakuwa na advantage mbele ya muhusika, anaingiwa hofu kwa kuiona ile silaha uliyonayo, so unaweza muamrisha chochote na akatii kwa hofu ya silaha uliyonayo usije kumdhuru.

Silaha kuwa ndio "ingredient" muhimu kwenye kesi yake, alitakiwa kwenye utetezi wake either;

1. Akatae kabisa kumiliki silaha yoyote ya moto.

au

2. Akubali kumiliki silaha LAKINI hakuwa nayo siku ya tukio.

Huo utetezi wa pili ungesaidia kumsogeza mbele kwa kuisumbua mahakama itafute mashahidi wa ku-prove kwamba siku ya tukio kweli alikuwa na silaha.

Ili mahakama iamue jambo, lazima kuwe na ushahidi usioacha shaka, na huu ushahidi mostly ungetakiwa uje toka kwa third parties, hapa wangeweza kuwahonga mashahidi kama walikuwepo na kesi ingeishia hapo.

Lakini kwa kukiri kwake kuwa na silaha eneo la tukio alijimaliza mwenyewe, alimpunguzia hakimu kazi kwa kiasi kikubwa sana, mawakili wake hawakum "coach" vizuri kwenye hili.
Safi Sana Mkuu Kwa Ufafanuzi mzuri.
 
Kuweka rekodi sawa, kuna tofauti ya silaha na silaha.

Ukivamia mahali ukiwa na silaha (hata kama ni panga), yaliyomkuta mshirika wenu ni halali yako.

Kumbuka mawakili wake wametambua:

View attachment 1976720

1. Huruma ya hakimu kwao 😁😁
2. Uzuri wa hukumu 😁😁

Mengine sasa ni kujikakamua tu.
Hujui wakili ana maana gani kujipendekeza kwa mahakama.
 
Sasa hiyo silaha aliyo kuwa nayo eneo la tukio, ilikuwa ni kwa ajili ya nini? Kuwalingishia hao wafanyabiashara?

Halafu unakili mwenyewe 'hata kama Sabaya ana hatia......!! Sasa si ndiyo hiyo ya unyang'anyi wa kutumia silaha!!

Hata kama alitishia tu, bado sheria iko pale pale! Miaka 30 jela, na viboko juu.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Unajipa matumaini. Kubali tu kuwa haki imetendeka na imeonekana kutendeka Subiri tuone!!
Hilo jina lako kwa kilugha chetu maana yake ni ile ya mwanamke kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Yadungundaga....
 
sijui ameshakabidhiwa rasmi gwanda la Jela???maisha haya hayana formula kwa kweli
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.

Kitendo cha kwenda pale yeye ni TRA?

FICHA UJINGA WAKO NA USHABIKI WAKO WA KINDEZI
 
Wewe mleta mada umemwona yule bibi anayelalamika,na kupiga ukunga kwa sababu ya unyama na ubaya alioutenda?Ukiiona ile crip utasema huyo dogo aongezewe 30 tena.Kaumiza watu sn sn huyo mtu ndugu
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Ahahahaaaaa Mami , hata hili unalifanyia ligi ?!. Uvccm mnaumbuka vibaya . Mwenyekiti wenu alikaririwa akitaka atumie ghasia na ugaidi dhidi ya wanaopishana itikadi !!

Sabaya amekiri mwenyewe kuwa aliyafanya hayo kwa maelekezo ya mteuzi. Na akaenda mbali na kudai Gavana alikuwa anajua, na waziri wa fedha alikuwa anajua. Unataka hakimu amnusuru vipi na huku amekiri ?!

"Ukipenda chongo utaiona kengeza"
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Siraha ndio kitu gani!!?
 
Nimesoma baadhi ya nukuu za hakimu Amworo anakiri kuwa Sabaya alikuwa na siraha eneo la tukio . Lakini hii sio sababu ya kudai kuwa alitenda unyang'anyi wa kutumia siraha.

Ili unyang'anyi wa kutumia siraha utimie lazima mtuhumiwa atishie kwa siraha, kutumia siraha na kisha kupora mali. Ukifuatilia kesi ya Sabaya utaona kuwa hakuna mahala hili linasithibitishwa.

Lakini hata mashahhidi wa mashitaka wanakiri kuwa Sababya na wenzake walikwenda na magari ya serikali kufanya upekuzi juu ya magendo. Hapa ndipo utaona kama kuna walakini, maana hata mkuu wa wilaya ya Arusha wakati huo alifahamu.

My take; Mahakimu wanaofanya kazi kwa kukariri hawafai.
Ile Footage ya CCTV camera inaonesha Wakimzabua muuza duka na kitako Cha Bunduki uliitazama ?
 
Wewe mleta mada umemwona yule bibi anayelalamika,na kupiga ukunga kwa sababu ya unyama na ubaya alioutenda?Ukiiona ile crip utasema huyo dogo aongezewe 30 tena.Kaumiza watu sn sn huyo mtu ndugu
Sabaya amefungwa miaka 60, miaka 30 kwa kila kosa, ila kifungo kinaenda pamoja ndio maana atatumikia miaka 30.

Waandishi wa Tanzania hawana weledi wa kurepoti taarifa kiusahihi.
 
Back
Top Bottom