Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawezi kujifunza huyo ni mpuuzi snI wish afungwe hata miaka 50 akajifunze utu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kujifunza huyo ni mpuuzi snI wish afungwe hata miaka 50 akajifunze utu.
Kweli kesi bampa to bampa.Bampa to bampa
Bwashee huko machame kulikoni kesi haziishi?Bampa to bampa
Kila akimaliza kesi moja inaibuka nyingine.Sabaya ana kesi tofauti tofauti! Ya kwanza ilikuwa unyang'anyi wa kutumia silaha. Hii ni nyingine tofauti ya uhujumu uchumi. Bado zipo nyingine zitafuata ambazo zipo kwenye upelelezi! Hawezi kuchomoa zote!
kama lile gaidi la HaiHuyu mwehu atapanda karandinga mpaka aje kuvaa jezi ya karoti ni miezi
Hahahahahkama lile gaidi la Hai
Huyu ni shahidi wetu muhimu saana, msimfunge tafadhali........Aliye Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya leo kuendelea na kesi ya Uhujumu uchumi na wenzake Sita
Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kumsomea mashitaka hayo Sabaya ambayo ni kesi inayo mkabili na wenzake Sita.
Ha ha ha, dogo mjinga sana alifikiri babake mwendazake hawezi chomoka ni next 30 yrs..Huyu mwehu atapanda karandinga mpaka aje kuvaa jezi ya karoti ni miezi
Ni mashtaka mengine kesi nyingine ambayo inasomwa tu ila upelelezi haujakamilikaBasi title ya uzi haijakaa sawa
Shukrani...Ni mashtaka mengine kesi nyingine ambayo inasomwa tu ila upelelezi haujakamilika
Ile ya unyang'anyi ndo iko hatua ya kusikilizwa sasa yenyewe imekamilika
Anaweza akapanda karandinga sana na asivae jezi ya karoti hadi mechi inaisha. Kama mechi zina tija basi atavaa, lakini kama ni friendly matches anaweza asivae.Huyu mwehu atapanda karandinga mpaka aje kuvaa jezi ya karoti ni miezi
Usajili wake ndani ya kikosi cha KISONGO FC unasubiriwa sana.Kutoka kuvaa suti na kupigiwa salute mpaka kuvaa jezi na kupigwa mabuti.
Usajili wake kutoka "HAI District FC" kwenda "KISONGO FC" haujakamilika, michakato bado inaendelea. Ila club yake ya zamani ya HAI District ilishaachana naye, ni hao KISONGO FC kukamilisha tu documents zao ili mchezaji awe wao.Afungwe haraka huyo jangili
Wewe mpiga saluti tuambie Ben saa 8 yupo wapi ?Bado BashiteView attachment 1910756
Hii miezi 4 ambayo amekaa magereza inamtosha kabisaUsajili wake kutoka "HAI District FC" kwenda "KISONGO FC" haujakamilika, michakato bado inaendelea. Ila club yake ya zamani ya HAI District ilishaachana naye, ni hao KISONGO FC kukamilisha tu documents zao ili mchezaji awe wao.