Ole Sabaya kupanda Kizimbani leo kesi ya Uhujumu Uchumi

Ole Sabaya kupanda Kizimbani leo kesi ya Uhujumu Uchumi

Hii miezi 4 ambayo amekaa magereza inamtosha kabisa
Sheria haiendi hivyo mkuu, najua unajua, ila unapenda kama ingekua hivyo. Hukumu inaanzia pale mahakama itakapothibitisha uhalifu wake. Huko nyuma alikua anahifadhiwa tu ili kuelekea kwenye kutafuta justice. Kama ingekua hivyo upendavyo, basi mtu akikutwa hana hatia baada ya kukaa rumande kwa muda fulani, angekua anadai fidia ya ule muda aliowekwa rumande.
 
Sheria haiendi hivyo mkuu, najua unajua, ila unapenda kama ingekua hivyo. Hukumu inaanzia pale mahakama itakapothibitisha uhalifu wake. Huko nyuma alikua anahifadhiwa tu ili kuelekea kwenye kutafuta justice. Kama ingekua hivyo upendavyo, basi mtu akikutwa hana hatia baada ya kukaa rumande kwa muda fulani, angekua anadai fidia ya ule muda aliowekwa rumande.
Kimsingi mtu anatakiwa kudai fidia lakini sema sheria zetu zimekaa kijinga sn maana muda wa mwanadamu hauwezi kufidiwa na kitu chochote.
 
IKUMBUKWE ALIKUWA DC HAI,lakini matukio ameyafanyia Arusha kama mhalifu mwingine.

Nitashangaa kama watakosea kuandika mashtaka yake,kwa matukio aliyoyafanya nje ya Wilaya aliyokuwa anaingoza!
 
Aliye Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya leo kuendelea na kesi ya Uhujumu uchumi na wenzake Sita.

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kumsomea mashitaka hayo Sabaya ambayo ni kesi inayo mkabili na wenzake Sita.
Kasomi oleho ngalo...
 
IKUMBUKWE ALIKUWA DC HAI,lakini matukio ameyafanyia Arusha kama mhalifu mwingine.

Nitashangaa kama watakosea kuandika mashtaka yake,kwa matukio aliyoyafanya nje ya Wilaya aliyokuwa anaingoza!
Ngoja wapige danadana hiyo kesi mpaka dk90 ziishe
 
Aliye Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya leo kuendelea na kesi ya Uhujumu uchumi na wenzake Sita.

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kumsomea mashitaka hayo Sabaya ambayo ni kesi inayo mkabili na wenzake Sita.
huyu jamaa ana kesi ngapi? aiseee kweli cheo ni dhamana / hujafa hujaumbika.
 
Huyu JANGIRI Sabaya na mtekaji Kingai walimvamia Mheshimiwa Mbowe hotelini wakiwa na MABUNDUKI na magari yenye nr za UN, ili wa muue mzee Mbowe.
tunamsubiri huku kwenye kesi ya Mheshimiwa,Mbowe akitia pua tu , tunae.
Jaji: wakili KIBATALA..😄
 
Huyu JANGIRI Sabaya na mtekaji Kingai walimvamia Mheshimiwa Mbowe hotelini wakiwa na MABUNDUKI na magari yenye nr za UN, ili wa muue mzee Mbowe.
tunamsubiri huku kwenye kesi ya Mheshimiwa,Mbowe akitia pua tu , tunae.
Jaji: wakili KIBATALA..😄
Basi kazi anayo ngoja tusubiri hatima yake kama ataishia kuvaa sare au ataponyoka
 
Back
Top Bottom