Ole Sabaya kutinga tena mahakamani Oktoba 18 kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Ole Sabaya kutinga tena mahakamani Oktoba 18 kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Mfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.


U DC ulimvuruga kichwa. Akajisahau
 
Mfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.

Makondeko ndani ya 18...
 
Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Acha ahukumiwe kwa ujinga wake.
 
Duh

Ukisikia ngadu kwa ngadu

Mtu na mtu

siti mbanano ndiyo hiyo

Ova
 
Jamaa ana mlima wa kupanda kwa kweli...
 
Naomba kueleweshwa,Je mfungwa anayeshitakiwa kwa kesi nyingine ( Si rufaa ya kesi iliyomtia hatiani) anapoenda mahakamani anaenda na sare ya magereza kama anavyoenda hospital akiugua au anaenda na nguo zake za kawaida?.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Anaenda na sare, huyo n mfungwa
 
[emoji849][emoji849][emoji849].hata kama kumkomoa sio hivi.
ujue mwanzo alichukulia rahisi rahisi ila Mambo yameshakuwa magumu.
pale mahakamani alikuwa anacheka ila huko jela alikuwa analia 30 nyingi
30 nyingi sio utan

[emoji23][emoji23]
 
Kweli, amekuwa kitabu cha historia ya uongozi, nahisi umri nao wao teua wawe wanaungalia Sana, ujana unaupumbuvu Sana, lakini mvua 30 nazo dah!!! Nyingi wakate rufaa wampunguzie arudi azae hata mtoto uraiani
Mvua ilitakiwa ziwe 90, mawakili wake wakamuombolezea ndiyo maana kapigwa 30! This is according to wakili wake alivyoongea na media...
 
Huyu kijana Sabaya kweli alikuwa na maadui wengi, mitandao yote watu wanafurahia adhabu aliyopata huyu jamaa najiuliza kawafanyia nini lakini, huo sio ubinadamu kabisa
Kawatafute binadam siku ukiwapata njoo nao jukwaani
 
Samahani ila wewe bado mtoto mdogo sana ila sikulaumu unaendelea kujifunza. Hapo kila mmoja ni 30 years
Si wote wanasheria, kuto kujuwa kitu fulani hakuna uhusiano na umri, na si lazima ujuwe kila kitu, ndio maana kuna nafasi ya kuuliza, ila nashukuru kwa jibu, pamoja na kashfa!
 
Mfungwa wa kifungo cha miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha, Lengai Ole Sabaya na wenzake 6, kesho 18/10/2021, watarejea tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza kesi nyingine ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kuendesha genge la uhalifu, utakatishaji fedha na uhujumu uchumi.

Endeleeni tu kumshitaki sabaya. Tutaonana 2025.
 
Mvua ilitakiwa ziwe 90, mawakili wake wakamuombolezea ndiyo maana kapigwa 30! This is according to wakili wake alivyoongea na media...
Wakimtandika na ya muhudumu uchumi miaka 30 jamaa atakua na 60
 
Hujui power ya askari jela mkuu sikia tu waone kama wajinga wakiwa nje ya ngome usisikie ndugu acha kabisaaa.....majambazi wakorofi hutulizwa na kuwa wapole kama wachumba....acha kabisaa.....wakiamua wanapiga wale hadi huwa wanaua....wanapiga vibaya sana...usikie tu...
Kudela na kila type ya wanachi wakorofi sio jambo dogo
 
Back
Top Bottom