Ole Sabaya leo atakuwa live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda

Ole Sabaya leo atakuwa live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda

Vipi unajisikiaje kumuona Sabaya akiwa na afya njema

Unawezaje kujua afya ya mtu kwa kumuangalia? Tumeagizwa upendo kwahiyo sina chuki na mtu yeyote ,ukiona tunaotoa mawazo tofauti haimaanishi ni chuki bali ni mtazamo kwa jinsi navyoliona jambo.
 
Kwamba mtwita ndio DC [emoji12][emoji23]
Mtwita anaingizwaga chaka kirahisi sana hasa na hao wa kitengo wenye njaa ambao huyu kima huweza watumia kumfikishia fake news!!

Tangu mwanzo niliwaambia watu huyu mjinga kajitafutia Kiki ili kumu win bwana yule.
 
Unawezaje kujua afya ya mtu kwa kumuangalia? Tumeagizwa upendo kwahiyo sina chuki na mtu yeyote ,ukiona tunaotoa mawazo tofauti haimaanishi ni chuki bali ni mtazamo kwa jinsi navyoliona jambo.
Mkuu chadema wenzio walikuwa wana furahia sana ule uzushi
 
Mtwita anaingizwaga chaka kirahisi sana hasa na hao wa kitengo wenye njaa ambao huyu kima huweza watumia kumfikishia fake news!!

Tangu mwanzo niliwaambia watu huyu mjinga kajitafutia Kiki ili kumu win bwana yule.
Mtwita anaokota sana vichwa boga vya chadema
 
Huyu jamaa ni mtawala na si kiongozi uchafu anaoufanya huku kanda ya kaskazini, mambo mengine ni uhalifu angekuwa Raia angepaswa kuwa jela
Anayoyafanya kwenye night clubs ni hovyo
Anatoka eneo lake la kazi kuja kufanya fujo maeneo mengine kisa yale mambo yetu[emoji179]
 
Mkuu wa wilaya ya Hai yuko live muda huu katika kituo cha luninga cha Star tv!

Wabaya wake hasa chadema na yule mtwita mliyemzushia kifo sageni tu sumu!
Ana jambo gani jipya ,zaidi yatuyajuayo juu yake.
 
Back
Top Bottom